Clouds Habari hovyo kabisaaa

Clouds Habari hovyo kabisaaa

Habari!
Hivi clouds TV hamna wasomaji wengine? Kila Leo Kapiga Kapiga, mnakera sana yaani hata ukiona tu msomaji ni yeye hamu ya Habari inaisha.
Jirekebisheni basi, mtu mwenyewe huyo msomaji wa kila siku anajifanya anakuja kuliko yeyote.
Huyo si ndio YULEEEEEE!
 
Wana uhakika wa miaka tisa ya umaarufu.... Wenzenu wanatangaziwa kituo chao kutoka juuuuu zaidi...... Hapo wanatimiza tu wajibu hakuna haja tena ya kutumia akili
 
Habari!
Hivi clouds TV hamna wasomaji wengine? Kila Leo Kapiga Kapiga, mnakera sana yaani hata ukiona tu msomaji ni yeye hamu ya Habari inaisha.
Jirekebisheni basi, mtu mwenyewe huyo msomaji wa kila siku anajifanya anakuja kuliko yeyote.
Acha kupangia watu kama vile mishahara unatoa wewe,kama hupendi fungulia Ting tu utapata utakacho
 
Kwanza huy jamaaa hana kabsa ethic za utangaji wa habara Bora hata wamchukue BARAKA NGEMBA Wa channel 10
 
Habari!
Hivi clouds TV hamna wasomaji wengine? Kila Leo Kapiga Kapiga, mnakera sana yaani hata ukiona tu msomaji ni yeye hamu ya Habari inaisha.
Jirekebisheni basi, mtu mwenyewe huyo msomaji wa kila siku anajifanya anakuja kuliko yeyote.
Sisi wengina anatufurahisha sana hivyo wewe mwenzetu si uangalie star tv /itv/azam2/tbc tatizo ni nini????
 
si ubadilishe uangalie ata taarifa ya chanel ten lazma iwe clouds tu kama wanakuboa
 
YyyX myself-,r,, bcc
Pale mtangazaji ni Godfrey Kusolwa ni wale wadada, ingawa hawajui kuchague Habari ipi ianze na ipi iwe ya mwisho.
Kingine huyo Kapiga Mara nyingi anaonyesha upande au side kwa Habari zenye pande mbili
 
Habari!
Hivi clouds TV hamna wasomaji wengine? Kila Leo Kapiga Kapiga, mnakera sana yaani hata ukiona tu msomaji ni yeye hamu ya Habari inaisha.

Jirekebisheni basi, mtu mwenyewe huyo msomaji wa kila siku anajifanya anakuja kuliko yeyote.
Wewe usichotaka ni msomaji au habari yenyewe, nakushauri acha kuangalia au anzisha tv yako uwe unabadilisha watangazaji wa habari.
 
Back
Top Bottom