Clouds FM wanaingizaje sauti kwenye jingle?

Clouds FM wanaingizaje sauti kwenye jingle?

Hata mimi kiukweli natamani kumjua huyo jamaa ana sauti flani iko so deep and smooth, pia napenda kufahamu kwanini hatangazi vipindi vya kawaida zaidi ya kufanya Voice Over kwenye matangazo.
Exactly nami ningependa kujua
 
MSHANA.jpg

Anaitwa Raymond Mshana anafanyaga matangazo mengi hata ya Fiesta karibia yote kafanya yeye..
 
Back
Top Bottom