Clouds FM wanaingizaje sauti kwenye jingle?

Clouds FM wanaingizaje sauti kwenye jingle?

edneltz

Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
44
Reaction score
25
Habarini wanajamiiforums,huwa nasikia jingle mbalimbali za clouds FM hhuwa ninajiuliza hivi yule anayeingiza sauti kwenye jingles zao ni nani ningependa kumjua anasauti nzito hivi
 
Kama lile tangazo la Clooooooouuuids fm ni M.L CHRIS
 
Habarini wanajamiiforums,huwa nasikia jingle mbalimbali za clouds FM hhuwa ninajiuliza hivi yule anayeingiza sauti kwenye jingles zao ni nani ningependa kumjua anasauti nzito hivi
Jingles ndo nn elezea tafadhali.
 
Watangazaj wa clouds miyeyusho,wamekosa ubunifu kuna yule anaitwa Casto Dickson anatangaza kipindi cha Sizi kitaa Clouds tv, ameiba msemo wa "MAJIRANIII" huo msemo anautumiaga mtangazaj wa Skonga EATV Kevoo aka JIRANI... Cha ajabu huyu casto dickson kajimilikisha had jina la Jirani....
MSHAMBAAA
 
Hata mimi kiukweli natamani kumjua huyo jamaa ana sauti flani iko so deep and smooth, pia napenda kufahamu kwanini hatangazi vipindi vya kawaida zaidi ya kufanya Voice Over kwenye matangazo.
 
Back
Top Bottom