JOGOO JINA
Member
- Nov 6, 2012
- 44
- 3
Mnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri, gazeti moja tu kipindi kizima?
Nyie ndo wale mnaosemaga hamuipendi clouds, lakini kutwa kuisikiliza.... Ikikukera hamia redio uhuruMnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri,gazeti moja tu kipindi kizima?
Nyie ndo wale mnaosemaga hamuipendi clouds, lakini kutwa kuisikiliza.... Ikikukera hamia redio uhuru
Mnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri,gazeti moja tu kipindi kizima?
Na kweli, maana baadhi ya wabongo kwa kupenda vya bure.... Ndiyo maana kutwa kucha utasikia thread zimeandikwa...ha ha ha ha ili ununue nakala yako wakimaliza hutanunua gazeti
Mnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri,gazeti moja tu kipindi kizima?
Mnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri,gazeti moja tu kipindi kizima?
Walewale...Umenikumbusha mbali kidogo enzi hizo nikiwa nasikiliza Radio Cloudz, Vipi Gadner Habashi anaendelea na kile kipindi chake sijui kinaitwaje kilikuwaga mara nyingi kwenye saa kumi alasiri
Km shida yako ni magazeti,nenda RFA(saa 12 na nusu asubuh km sijakosea),km upo dar,radio WAPO (sa 2 asubuhi)ipo vzr,
Na kweli, maana baadhi ya wabongo kwa kupenda vya bure.... Ndiyo maana kutwa kucha utasikia thread zimeandikwa...
1. Jinsi ya kutazama startimes bila kulipia..
2. Jinsi ku-unlock modem ya kampuni ya simu
3. Jinsi kutazama DSTV bure..
4. Naomba keys za word 2012
5. Jinsi ya kupata free internet
6. etc etc
Umenikumbusha mbali kidogo enzi hizo nikiwa nasikiliza Radio Cloudz, Vipi Gadner Habashi anaendelea na kile kipindi chake sijui kinaitwaje kilikuwaga mara nyingi kwenye saa kumi alasiri
Na kweli, maana baadhi ya wabongo kwa kupenda vya bure.... Ndiyo maana kutwa kucha utasikia thread zimeandikwa...
1. Jinsi ya kutazama startimes bila kulipia..
2. Jinsi ku-unlock modem ya kampuni ya simu
3. Jinsi kutazama DSTV bure..
4. Naomba keys za word 2012
5. Jinsi ya kupata free internet
6. etc etc
Mnakera sana haswa ktk uchambuzi wenu wa magazeti asubuhi manake huwa hamna mpangilio mzuri,gazeti moja tu kipindi kizima?