MZALENDOWAKWELIKWELI
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 330
- 210
Hatukatai kurusha matangazo ya biashara, kinachoboa ni bandika bandua ya matangazo tu mwanzo mwisho for a long long time.
Kinachoboa zaidi tangazo lilelile ulilolisikia sekunde iliyopita, unalisikia tena baada sekunde chache, as if wasikilizaji ni viziwi na wasahaulifu kila baada ya sekunde
Hamnaga standard ya interval ya tangazo moja na lingine? Kuweni advanced, acheni u'local. MNABOA mpaka mnatulazimisha tuhame stesheni wakati tunawapenda.
Badilikeni
Kinachoboa zaidi tangazo lilelile ulilolisikia sekunde iliyopita, unalisikia tena baada sekunde chache, as if wasikilizaji ni viziwi na wasahaulifu kila baada ya sekunde
Hamnaga standard ya interval ya tangazo moja na lingine? Kuweni advanced, acheni u'local. MNABOA mpaka mnatulazimisha tuhame stesheni wakati tunawapenda.
Badilikeni