kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nawasikia hivi sasa niko kwenye gari sina namba yenu,ila acheni kuchochea uswahili uswahili kwenye suala hili.Mnataka watu wajadili nini wakati kila kitu kiko wazi ? Hivi mnajua watu wakiamua kujadili hata kamba ya kiatu inaweza kuchukua miaka hata kumi hawajapata muafaka ? Yanapofanyika maamuzi ninyi mnasema wanachama wakae mezani ni meza ipi hiyo ? Sisi tunataka ushindi tu hayo ya mezani ni yenu huu si mchezo wa bao.Kama kuna mwenye namba ya hawa jamaa awaambie wanachosha sana !