Clouds: Acheni kufagilia upuuzi - wewe Diva - Loveness Love unajiaibisha....

mi nadhan achague maneno ya kuongea hewan coz anavuka mipaka na sio swala la kuchagua kumsikiliza ua laa ile ni media na ni kwa ajili ya watu wote anapotosha jamii were tanzanian we cant be europeans
 
Tena huyu bint sikujua kuwa hana adabu hata kidogo.
Katika Facebook analalamika eti JF na Cham Cha Wanawake wanamfuatilia maisha yake na vivazi vyake, Jamaa mmoja akajaribu kumrekebisha DUU! ametapika matusi makubwa ya nguoni yaani niaibu hata kuyanukuu hapa. hata mzazi wake akiyaona ni aibu, hana nidhamu hata kigogo.
Kama ana boyfriend SORRY 4 HIM.

Ndio urithi pekee alioachiwa na wazazi wake
 
Ushamba unamsumbua anahisi usupastaa kibongo bongo lazma ufanye ujinga. Anajilinganisha na wenzetu abroad. Tatizo pia Elimu inachangia. Kaz ya elimu ni kumstaarabisha mtu. Hana shule kichwan. Timu yote ya clous wapumbavu.
 
What happened to the right to protected speech? <br />
<br />
Kwani wewe umelazimishwa kumsikiliza jamani? Mi nadhani hakuna mwenye haki ya kudefine &quot;values&quot; na &quot;maadili&quot; ambayo inabidi sote tufuate. Its precisely because of this reality that we have laws of the land which bind us all. Sasa kama amevunja hizo sheria, watu mna haki ya kulalamika. Otherwise, I fully dont agree na hii tabia ya mtu kukaa kwenye comfort zone yake na kuanza ku-impose values na maadili yake on other people. I dont necessarily endorse what she says, alkini I strongly defend her right to say it. Maana watu mkianza kuja hapa mnadefine maadili na values...kesho tutaambiwa kwamba hairuhisiwi kufanya hiki na kile kwa sababu utaharibu maadili ya wengine.<br />
<br />
Again, I might not endorse what she says, but lets learn to co-exist. Na kama hatukubaliani na anayoyasema, basi tutafute njia muafaka za kukifuta au kukirekebisha hiki kipindi na wala siyo kuja hapa na kusema kwa fulani anaharibu maadili ya wengine. Its a tough call, but the world has changed big time! and we should be responsive to changes. We live in the world and era of google where no body has a monopoly of truth!<br />
<br />
Masanja
<br />
<br />
thanks...
 
Hizo radio za fm we acha tu, mtangazaji atajiongelea chochote bila kujali ni nani anasikiliza.....kazi kweli kweli.
 
Ushamba unamsumbua anahisi usupastaa kibongo bongo lazma ufanye ujinga. Anajilinganisha na wenzetu abroad. Tatizo pia Elimu inachangia. Kaz ya elimu ni kumstaarabisha mtu. Hana shule kichwan. Timu yote ya clous wapumbavu.
Mmh hapana sio wote wapumbavu ila ni kweli wapo wapuuzi wasiojua maadili ya kazi yao.
 
Hana hakiri hata kidogo, muda wote anawaza mapenzi tuuu kudate na foreigners sijui anaona sifa, nasikia katoa seven day JF ifute post za kumsema laa sivyo ata take action.
asiambiwe ukweli?
 
jaman watu wenye akili sawia sidhani kama watakuwa wanasikiliza clouds me naona most of there program nimbovu na kuna redio nyingi ambazo wanaendesha vpnd vya mahaba na mada zao ni za kujenga alwz wanaomsikiliza huyo diva mbana pua naona kama wapumbavu mawazo yangu jamen!
 
Hana jipya huyu anaiba pic za watu wa nje na kujifanya zake...eti anaspend 2000 dollar kununua nguo kila mwezi...acha uongo.
 
Back
Top Bottom