ALHAJI TECNO
Member
- Jun 17, 2017
- 10
- 6
habari za mda kidogo wadau...
moja kwa moja niende katika mada.hawa jamaa ni wanafiki wakubwa na mda mwingi wanatumia kupiga porojo tu. mfano mda huu wanazungumzia swala la maoni ya rais mstaafu alhaji mwinyi.. kama rais mwinyi ingekua uwezo wake angependa rais awe wa kudumu.
sasa basii awa jama wanajadili as if hiyo n storii kubwa ambayo inaweza take 30mints.. yani ni ujinga hassa mpaka inaudhi .
wote kwanza n wajuaji wote ndo wanaongoza kiipnd...ni vurugu na watu wamejaa sifa....
Issue y wanyama kupewa mtaa wanatetea aaaaahhaahh jiulizeni wanajimvi samweli sitta kapewa mtaa? wao wanasema eti fursa kumpa wanyama mtaa.....fursa ya kututangaza nje...how stupidity is this?
karibunii
moja kwa moja niende katika mada.hawa jamaa ni wanafiki wakubwa na mda mwingi wanatumia kupiga porojo tu. mfano mda huu wanazungumzia swala la maoni ya rais mstaafu alhaji mwinyi.. kama rais mwinyi ingekua uwezo wake angependa rais awe wa kudumu.
sasa basii awa jama wanajadili as if hiyo n storii kubwa ambayo inaweza take 30mints.. yani ni ujinga hassa mpaka inaudhi .
wote kwanza n wajuaji wote ndo wanaongoza kiipnd...ni vurugu na watu wamejaa sifa....
Issue y wanyama kupewa mtaa wanatetea aaaaahhaahh jiulizeni wanajimvi samweli sitta kapewa mtaa? wao wanasema eti fursa kumpa wanyama mtaa.....fursa ya kututangaza nje...how stupidity is this?
karibunii