SamJet
Senior Member
- Jul 22, 2009
- 162
- 13
HaBari wana Jf
Tumekua tukitumia mtandao wa kijamii facebook na kuuona ni wa muhimu, Ila facebook imekua na restriction na bureaucracy za kimarekani kwasababu ni made in US. Tuachane na hayo, hayatuhusu, kikubwa ni kwamba wabongotunaweza pia kuwa na chetu ambacho kina maadili na bureaucracy za kibongo.
Ndiyo maana mimi nikaamua kuanzisha BongoBest, www.bongobest.com
Kama una wazo ama swali, Uliza.
Mchango wa kiufundi (php) pia unahitajika. (wasiliana, tuma pm mesej)
Tumekua tukitumia mtandao wa kijamii facebook na kuuona ni wa muhimu, Ila facebook imekua na restriction na bureaucracy za kimarekani kwasababu ni made in US. Tuachane na hayo, hayatuhusu, kikubwa ni kwamba wabongotunaweza pia kuwa na chetu ambacho kina maadili na bureaucracy za kibongo.
Ndiyo maana mimi nikaamua kuanzisha BongoBest, www.bongobest.com
Kama una wazo ama swali, Uliza.
Mchango wa kiufundi (php) pia unahitajika. (wasiliana, tuma pm mesej)