Clinton Falls Behind Trump in Poll Where She Recently Led by 12

Clinton Falls Behind Trump in Poll Where She Recently Led by 12

Source: Fox News. 'Nough said [emoji23][emoji23][emoji23]. Ni sawa na TWAWEZA tu. Hivyo hivyo CNN. Angalia polls za independent organizations kama Nielsen, Quinnipiac etc angalau utapata picha kidogo...
Wakisema kwamba Trump anaongoza basi unakuwa utafiti wa TWAWEZA,Ila Clinton akiongoza sio wa TWAWEZA..Double standard sijui mtaacha lini.Huo ndio uhalisia kwa sasa japokuwa ni ngumu kumeza,vituo vingi vikubwa kwa marekani wamesema hivyo.CNN ma liberali wa kutupwa na supporters wa Clinton hata wao wamekiri hivyo...Thats the reality,accept it bro.
 
Wakisema kwamba Trump anaongoza basi unakuwa utafiti wa TWAWEZA,Ila Clinton akiongoza sio wa TWAWEZA..Double standard sijui mtaacha lini.Huo ndio uhalisia kwa sasa japokuwa ni ngumu kumeza,vituo vingi vikubwa kwa marekani wamesema hivyo.CNN ma liberali wa kutupwa na supporters wa Clinton hata wao wamekiri hivyo...Thats the reality,accept it bro.
Ndugu. Uchaguzi wa Marekani HAUNIHUSU. Point yangu ilikuwa ni kusema kwamba polls za Fox News na CNN mara nyingi ziko biased kuliko zile za vyuo vikuu na makampuni mengine huru. Sasa wewe unakuja na mipasho ya mara ngumu kumeza mara hivi. Sorry simo katika USHABIKI wa siasa za Marekani and I real don't care who gets elected. Adios!
 
Ndugu. Uchaguzi wa Marekani HAUNIHUSU. Point yangu ilikuwa ni kusema kwamba polls za Fox News na CNN mara nyingi ziko biased kuliko zile za vyuo vikuu na makampuni mengine huru. Sasa wewe unakuja na mipasho ya mara ngumu kumeza mara hivi. Sorry simo katika USHABIKI wa siasa za Marekani and I real don't care who gets elected. Adios!
relax man...cheers.
 
FOX NEWS ni supporter wa Republican, usitegemee mazuri kutoka kwao dhidi ya Hillary

Sawa sawa ni CNN, wao wapo upande wa Clinton na Democratic, usitegemee miujiza waisifie Republican
 
FOX NEWS ni supporter wa Republican, usitegemee mazuri kutoka kwao dhidi ya Hillary

Sawa sawa ni CNN, wao wapo upande wa Clinton na Democratic, usitegemee miujiza waisifie Republican
BBC news...niliona Jana...walisema hivyo pia.
 
Nani Kama trump.
Huyo bi Clinton kuna vuguvugu la baadhi ya wanachama wa democratic wanataka asitishe kugombea na nafasi yake achukue mgombea mwenza senator Tim Kaine. kwani amepoteza sifa.
Wikileaks wanampango wakuachia barua Pepe nyingine15000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom