We ni mpumbavu na mshenziJamani tupeane uzoefu juu ya mada tajwa hapo juu..ili kijana awe na uchaguzi bora
Hii tabia ya kumchagulia mtu course ndio mnatusababishia uwepo wa wahudumu wasio na weledi katika taasisi.....Jamani tupeane uzoefu juu ya mada tajwa hapo juu..ili kijana awe na uchaguzi bora
Hii tabia ya kumchagulia mtu course ndio mnatusababishia uwepo wa wahudumu wasio na weledi katika taasisi.....
kwann? clinical imefikia huko?Zote majanga hizo ila clinical ni majanga zaidi
Hawezi kabixaaWe unaamini mtoto wa miaka 15 (kwa Bongo) anatosha 'kujichagulia' kesho yake?
Niambie kozi zipi kwa mfano,,rafiki..Nso unashauri😀😀😀😀😀😀Kwanini unampeleka mtoto wako wa kike kwenye kazi kama hizo mkuu😂😂😂. Kama anasura ngumu mpeleke ni sawa tu.
Ila mtoto wako kama unampenda mpeleke akasome kozi zinazoeleweka zinazoweza kuifanya hata familia yako kutajirika hapo baadaye akipata mchongo wa maana. Ni hayo tu.
Mimi nafuata nyayo za waisraeli tu.
Kwanini dear?..share sababu ili nijifunzeNursing and Midwifery.
Siyo kumchagulia lakini kumuguide,,hqwezi kujua kila kitu wakati ndo kamaliza foem six na hajawahi hata kufika Mwanza..kwa maana ya miji mikubwaHii tabia ya kumchagulia mtu course ndio mnatusababishia uwepo wa wahudumu wasio na weledi katika taasisi.....
Wewe labda unashida kichwani,, kumusaidia kijana kupata taarifa unaona ni jambo bayaWe ni mpumbavu na mshenzi
Tunajua tabia yako ya uongo hapa jukwaani