Clinical dentistry na Clinical Medicine

Clinical dentistry na Clinical Medicine

Xhizo de incredible

Senior Member
Joined
Nov 14, 2018
Posts
112
Reaction score
176
Naombeni jamani ushauri kati ya hizo kozi Clinical dentistry (utabibu meno) na Clinical medicine (utabibu) nichague nisome nini kwa kuangalia upatikanaji ajira nchini sasa hv naomben ushauri wenu
 
Naombeni jamani ushauri kati ya hizo kozi Clinical dentistry (utabibu meno) na Clinical medicine (utabibu) nichague nisome nini kwa kuangalia upatikanaji ajira nchini sasa hv naomben ushauri wenu
Kwa upepo wa sasahivi bora ukapige dental.

#MaendeleoHayanaChama
 
Naombeni jamani ushauri kati ya hizo kozi Clinical dentistry (utabibu meno) na Clinical medicine (utabibu) nichague nisome nini kwa kuangalia upatikanaji ajira nchini sasa hv naomben ushauri wenu
Ajira hakuna! Cha kufanya chagua unacho penda! Labda CO inaweza kua poa!

Nje ya mada...

Hivi taratibu zikoje mtu aliye somea diploma ya medicine akitaka kwenda kusoma degree? Nakumbuka walikua wanasumbuliwa sana.

Kama una nia ya kuja kusoma degree kwann usiende form6?
 
Ajira hakuna! Cha kufanya chagua unacho penda! Labda CO inaweza kua poa!

Nje ya mada...

Hivi taratibu zikoje mtu aliye somea diploma ya medicine akitaka kwenda kusoma degree? Nakumbuka walikua wanasumbuliwa sana.

Kama una nia ya kuja kusoma degree kwann usiende form6?
Utaratibu ni GPA kubwa tu mana ushindani ni mkubwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nenda Dental atleast ajira na fursa za kujishikiza zipo zipo.
 
Ajira hakuna! Cha kufanya chagua unacho penda! Labda CO inaweza kua poa!

Nje ya mada...

Hivi taratibu zikoje mtu aliye somea diploma ya medicine akitaka kwenda kusoma degree? Nakumbuka walikua wanasumbuliwa sana.

Kama una nia ya kuja kusoma degree kwann usiende form6?

Degree wanaenda ukiwa GPA ya 3 and above ila kwa upande wa MD competition ni kubwa ila kama kiuwezo upo vizuri private unapata
 
Kasome dental acahana na C.O now ni njaa
 
Back
Top Bottom