Clinical officer hutibu wagonjwa wakati Nurse(muuguzi)huuguza(hutunza)wagonjwa kwa kutekeleza kile kilchoandikwa na clinician.
Clinical officer huwa kiongozi asipokuwapo daktrari(MO au AMO) wakati muuguzi hata kama ana digrii mbili kama tu ni za uuguzi,lazima awe chini ya CO
CO anasoma miaka mitatu wakati Nurse anasoma miaka minne
CO na Nurse wote wakiwa na dip.Nurse huwa na mshahara mkubwa kidogo kuliko CO
Wagonjwa humheshimu zaidi CO kwa kudhani ni msomi zaidi kuliko Muuguzi
Ili usome CO kwa sasa unatakiwa uwe na ufaulu mkubwa kidogo angalau div 2 ya F.4 ama F.6 with science esp PCB,CBG lakini ili uwe muuguzi lazima uwe na ufaulu masomo ya sayansi na Eng na Math kwa angalau div 4 ya pts 26 ama F.6
CO anafanya kazi chache na rahisi kuliko Muuguzi ambaye hufanya kazi nyingi na kwa masaa mengi zaidi
Muuguzi anaweza kujiendeleza katika fani mbali mbali ikiwemo za uongozi sawa sawa na CO
Muuguzi anaweza kufanya kazi zahanati,kituo cha Afya,hadi hospitali za rufaa wakati CO hawezi kufanya kazi hospitali ya rufaa.
KAZI KWAKO
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums