yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
jaman habarini za mchana huu.kuna maajabu sana hapa mjini yaan kila kukicha watu wanatunga sera za utapeli tu ama ni nn? Leo nmeamka natumiwa sms kutoka katika kampuni ambayo siifaham wanadai eti maombi yangu wameyafikilia vizuri niende nkafanye kaz ktk muda wangu wa ziada.muda wa ziada kiaje? Hapa ndipo ninapoona kuna kamwanya ka utapeli.cjawahi kuapply hii kampuni halafu wanadai wako sinza.mmh....