Civil engineering ni moja ya kozi inferior UDSM-COET.

Kaka naomba uniweke wazi maana kwasasa Niko dip ya tele maana mazalau ya hawa jamaa yananitia presha

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikupe historia kidogo

Electrical eng
Telecom eng
Comp s na comp eng
It
Hizi kozi zote zinaendana.unaweza soma tele lakini ukafanya kazi za comp au hata za electrical sababu tofauti ni ndogo sana

Sijajua kwa sasahivi ila kipindi hicho tulikuwa tunatofautiana masomo machache mengi tulikuwa tuna randana

Kuhusu swala la ajira hizi kazi zinalipa sababu hakuna maendeleo bila hizo kozi
Mfano ingekuwaje kama hadi sahivi mfumo wa mawasiliano bado ungekuwa 2g?? Mambo mengi sana yangekwama
Maendeleo yanaendana na mawasiliano kiujumla

Sasahivi makampuni ya telecom yanaajiri ma eng wachache sanaa.sababu kazi nyingi wana outsource kwa makampuni mengine ambayo ndio yanafanya kazi za Tx,power na installation(pivotech,maktech,northen na camsat)
So ajira bado zipo
Tena una fursa kubwa ya kuanzisha kampuni maana kazi ni nyingi
 
Wajinga wanabishania kozi lakini mjue tu wenye pesa ndefu na ma boss wenu zaidi wako udbs na social sciences by the way moja ya kozi bora kabisa na inayolipa na unaweza fanya kazi sehemu yoyote duniani ni Civil engineering na ni multidiscipline and multipurpose,hizo zingine mpaka uje uotee mchongo sio Leo,tunae jamaa wa Telecom tumemsitiri kwenye kampuni ya ujenzi baada ya kukosa dili kitaa
 
Nyie tambianeni na hiyo micourse yenu pasua kichwa mkirudi kwenye ajira mnakutana na watu wa HUMAN RESOURCE MANAGEMENT,BUSINESS ADMINISTRATION,PUBLIC ADMINISTRATION n.k hao ndo maboss wenu wa kuwaajiri na ndo wanaopiga hela kuliko wote
 
Nyie tambianeni na hiyo micourse yenu pasua kichwa mkirudi kwenye ajira mnakutana na watu wa HUMAN RESOURCE MANAGEMENT,BUSINESS ADMINISTRATION,PUBLIC ADMINISTRATION n.k hao ndo maboss wenu wa kuwaajiri na ndo wanaopiga hela kuliko wote
Uzuri kwenye kusoma kila mmoja ana interests zake.
 
~CPE(chemical & processing engineering)=one ya tatu tu
~mining engineering=one ya tatu na nne
~Telacommunication engineering=one ya Yani Hadi Saba over.

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
We ni muongo we fala duuh chai hii kabisa
 
Telecom mbona inafursa nyingi kitaani nguvu kigodo akili nyingi pesa utitiri kikubwa kujituma basi sio kutegemea kuajiriwa
Toka magetoni mpigie kazi
 
Back
Top Bottom