Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Hello wanajamvi, Poleni na majukumu.
Naombeni msaada wenu, hivi hapa Tanzania kazi zinatafutwa vipi, hasa za makampuni binafsi?
Mimi ni graduate na registered civil engineer, nimejaribu kutafuta kazi through internet lakini sijafanikiwa.
Tafadhali, naombeni msaada on that.
Mbimbinho.
Naombeni msaada wenu, hivi hapa Tanzania kazi zinatafutwa vipi, hasa za makampuni binafsi?
Mimi ni graduate na registered civil engineer, nimejaribu kutafuta kazi through internet lakini sijafanikiwa.
Tafadhali, naombeni msaada on that.
Mbimbinho.