Civil Engineer Job opportunities

Mbimbinho

JF-Expert Member
Aug 1, 2009
8,315
7,731
Hello wanajamvi, Poleni na majukumu.

Naombeni msaada wenu, hivi hapa Tanzania kazi zinatafutwa vipi, hasa za makampuni binafsi?
Mimi ni graduate na registered civil engineer, nimejaribu kutafuta kazi through internet lakini sijafanikiwa.

Tafadhali, naombeni msaada on that.

Mbimbinho.
 
Ebwana ukipata hiyo kazi niPM ili na mimi nitumie mbinu utakayoitumia maana hata mimi natafuta na ni Civil Engineer
 
Jaribu kwa njia zote aidha kwenda physically kukutana na owners wa makampuni,pili njia ya internet kama ulivyosema yamkini unatuma maombi na cv yako vinakwenda but havina influence,may be mpangilio may b self expression haiko poa.vzr kujiuliza waliopata wamefanyaje as umefanya,pia tuma hard copies may be hzo soft copy zinaliwa na viruses you never know.Pia mshirikishe mungu ktk mipango yako atakusaidia,usiamini ktk uwezo wako pekee.endelea kujaribu mimi naamini upo karibu kupata kazi na mwaka huu hautokwisha.God bless you!
 
Andaa CV yako vizuri, peleka kampuni zote unazozijua. au tuma barua au email. CHANGAMKA. ndio mara yangu ya kwanza kusikia Civil Eng. analalamika ajira kwa kipindi kirefu. Toa nuksi hizo.
 
Andaa CV yako vizuri, peleka kampuni zote unazozijua. au tuma barua au email. CHANGAMKA. ndio mara yangu ya kwanza kusikia Civil Eng. analalamika ajira kwa kipindi kirefu. Toa nuksi hizo.

Asante mkuu, sio kwamba nalia, just nauliza tu maana ndo kwanza naanza kuanza kufanya applications.
 
Make sure cv zinawafikia wahusika, sa zingine cv huwa zinaishia kwa ma-secretary. Komaa kazi zipo.
 
Mbimbinho,
Check PM na fanyia kazi!
Nakutakia mafanikio

Mkuu thank you a lot, nishaifanyia kazi kaka. Be blessed mkuu.

Make sure cv zinawafikia wahusika, sa zingine cv huwa zinaishia kwa ma-secretary. Komaa kazi zipo.

Mkuu hapo upo sahihi, tatizo hadi zifike na secretary akikomaa sijui ndo inakuwaje? Imagine jana kuna sehemu nimeenda mlinzi wa getini anataka nidiscus naye issue iliyonipeleka pale. Bongo kazi kweri kweli.
 
Jaribu kwa njia zote aidha kwenda physically kukutana na owners wa makampuni,pili njia ya internet kama ulivyosema yamkini unatuma maombi na cv yako vinakwenda but havina influence,may be mpangilio may b self expression haiko poa.vzr kujiuliza waliopata wamefanyaje as umefanya,pia tuma hard copies may be hzo soft copy zinaliwa na viruses you never know.Pia mshirikishe mungu ktk mipango yako atakusaidia,usiamini ktk uwezo wako pekee.endelea kujaribu mimi naamini upo karibu kupata kazi na mwaka huu hautokwisha.God bless you!

Best ever answer,My Godbless works of your hands, Amen!
 
Jaribu kwa njia zote aidha kwenda physically kukutana na owners wa makampuni,pili njia ya internet kama ulivyosema yamkini unatuma maombi na cv yako vinakwenda but havina influence,may be mpangilio may b self expression haiko poa.vzr kujiuliza waliopata wamefanyaje as umefanya,pia tuma hard copies may be hzo soft copy zinaliwa na viruses you never know.Pia mshirikishe mungu ktk mipango yako atakusaidia,usiamini ktk uwezo wako pekee.endelea kujaribu mimi naamini upo karibu kupata kazi na mwaka huu hautokwisha.God bless you!

Thanks mkuu, wazo zuri sana.
 
Inabidi uwe makini sana na matangazo yanayotolewa kwenye mitandao wakikutaka utume CV zako na wakati mwingine utume vyeti vyako.
Kwakua nipo kwenye hii fani ya Ujenzi kwa muda mrefu kidogo,nimegundua watu wengi wana kampuni za ujenzi na hawana ma-Engineer,wanachofanya ni kutangaza kuwa wanahitaji Engineers na wanatumia Vyeti na CV zako kuombea tenda.
Mimi imenitokea mara mbili na kwa bahati nzuri wale waliokuwa kwenye evaluation team waliona CV yangu na jamaa mmoja alikua ananifahamu akanipigia simu kuniuliza.Nilipofuatilia kwenye hiyo kampuni kwa njia ya siri nikagundua wamenitengenezea CV na wanaonyesha mimi ni mfanyakazi wao kwa miezi minne sasa(kwa wakati huo).
Kwa maana hiyo ndugu yangu,kuwa makini na unapopeleka CV zako.Kuna watu ni wasanii sana hapa nchini.
Otherwise i am wishing you all the best.
Kazi za wahandisi wa ujenzi ni nyingi sana kwani mpaka sasa hatutoshi,tatizo watu wanasita kuajiri kwa kuogopa kulipa mshahara mkubwa.
 
Inabidi uwe makini sana na matangazo yanayotolewa kwenye mitandao wakikutaka utume CV zako na wakati mwingine utume vyeti vyako.
Kwakua nipo kwenye hii fani ya Ujenzi kwa muda mrefu kidogo,nimegundua watu wengi wana kampuni za ujenzi na hawana ma-Engineer,wanachofanya ni kutangaza kuwa wanahitaji Engineers na wanatumia Vyeti na CV zako kuombea tenda.
Mimi imenitokea mara mbili na kwa bahati nzuri wale waliokuwa kwenye evaluation team waliona CV yangu na jamaa mmoja alikua ananifahamu akanipigia simu kuniuliza.Nilipofuatilia kwenye hiyo kampuni kwa njia ya siri nikagundua wamenitengenezea CV na wanaonyesha mimi ni mfanyakazi wao kwa miezi minne sasa(kwa wakati huo).
Kwa maana hiyo ndugu yangu,kuwa makini na unapopeleka CV zako.Kuna watu ni wasanii sana hapa nchini.
Otherwise i am wishing you all the best.
Kazi za wahandisi wa ujenzi ni nyingi sana kwani mpaka sasa hatutoshi,tatizo watu wanasita kuajiri kwa kuogopa kulipa mshahara mkubwa.

Kuna mtu ashanitapeli mimi pia kwa kutumia CV na professional certificate kuombea kazi. Ndio hivyo we learn through mistakes.
 
Back
Top Bottom