City council kuhusu malipo ya kuungiza container mjini

City council kuhusu malipo ya kuungiza container mjini

mdau dsm

Member
Joined
Jun 5, 2025
Posts
13
Reaction score
12
Ndugu wasomaji

Nikisikitika kupata habari kwamba saivi city council ya dar es salaam wanahitaji mwagizaji mzigo yaani mwenye container aende ofisi za city kujulisha kwamba container yao inatoka na akafanye malipo ya contena kuingia mjini kabla ya container kuingia na isipofanyiwa hivo kuna faini ya miloni moja wakati kwa hali hii sisi wengi tunajua hizi kazi za container kutoka saa ngapi na lini hazina uhakika na kwa ushauri wangu hii proposal sio vizuri kwa sisi waagizaji na ningependa tushirikiane kupeleka hio changamoto kwa haraka iwezekanavyo kwa wahusika kama city council ya dar es salaam

Je maoni yenu yapoje

Asante.

AJEADQSBPBCZNFI5H4AEWZGO5Q.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom