Circumsicion IMETUVURUGA...

...mmemkazania avumilie wiki moja, wiki ya pili ikiunganika na siku za 'uana anga' je? si ishakuwa mateso hayo?...

Defn; 'uana anga' = kwenda mwezini.
Mkisikia Specialists
Huyu ndugu ni first number
 
...
Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!...

...
Kikubwa wala usibashane nakutafuta wanasayansi pevuko hapa wewe kama unaona kama ni uzushi you just rape your wife and do.halafu utaona then uje utoe ushuhuda.

Duh! Ndo home ya great thinkers hapa! Mmoja mpigaji, mwingine mbakaji. DUH!
Yani kwenye ndoa umeshindwa kuelewana naye?
Na wewe Chaku, dada yako akibakwa kwenye ndoa utachekelea?...hahaha
kweli kuna watu wa ajabu!
 
kwani mtoto naye anafanya nini wazazi wake wakiwa 'wanafurahishana'?

Kufanya tendo la ndoa ni sababu moja wapo kati ya nyingi zinazopunguza kinga ya mwili,

Mtoto huwa anapata kinga ya mwili kutoka katika maziwa ya mama kwa njia ya natural passive immunity, hivyo kitendo cha kufanya tendo la ndoa wakati mtoto ana kidonda kinga ya mama inapungua na mtoto akinyonya maziwa yanakuwa hayana kinga yoyote na kupelekea kidonda kuchelewa kupona.
 
Wiki nyingi sana Nyamayao!

Na hasa kunapokuwa na sababu zisizoeleweka kama hizo!

Hadi nikawa nafikiri nirudi kwa CHEUSI, yule wa zamani...!


sasa wiki moja we nawe PK ni ndefu?? duh???
okay i dont believe in hizo mila..lakini huyo mtoto akikosa kupona kwa mwezi for example utafanyaje??? bado atakupigia breki ama ndio kakupa line clear ya kwenda kwa cheusi???
 
MOD wamekuwa wakali sana isije kuwa iko shimoni hiyo thread....kuna yule rafiki yetu Engineer kila akipost upupu wake jamaa wanakula....hahahaha hadi raha!

Mkuu naona imetiwa kapuni aisee, nimeitafuta sijaiona kabisa!
 
Mazee huna nyumba ndogo? wanaume wengine bwana nyie ndio mnaosababisha wanawake watumie nyuchi zao kama silaha! Akisema week wewe mwambie lets make two weeks ili mtoto apone vizuri!


duh!!! mmmmmmmm
 
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.

Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?

nadhani wiki imeisha sasa na nuaweza kuendelea
 
Huyo mama ana lake jambo, kuna uhusiano gani wa moja kwa moja kati ya nanihii ya mtoto na uroda wa baba ake na mama ake!

Hizi ndo habari amabazo waafrika inatubidi tujitahidi sana kuondokana nazo, kwa upeo wa haraka haraka utakuta labda baba nae ni mzee wa mbio ndefu, kwa hiyo mama anatumia upenyo wa ugonjwa wa mwanae kupumzika kiaina kabla hajaanza kupata kipute kama kawaida, cha msingi hapo ni baba kuwa mpole na ikibidi amsomeshe my wife wake, amtafune then aone kama kuna lolote litakalotokea!
 
Hivi hata kama siyo kweli, unapata shida gani kuvumilia wiki moja?

Kama huwezi tumia spare tairi, au huna?
 
kwani mtoto naye anafanya nini wazazi wake wakiwa 'wanafurahishana'?

Kufanya tendo la ndoa ni sababu moja wapo kati ya nyingi zinazopunguza kinga ya mwili,

Mtoto huwa anapata kinga ya mwili kutoka katika maziwa ya mama kwa njia ya natural passive immunity, hivyo kitendo cha kufanya tendo la ndoa wakati mtoto ana kidonda kinga ya mama inapungua na mtoto akinyonya maziwa yanakuwa hayana kinga yoyote na kupelekea kidonda kuchelewa kupona.


IKO KITU HAPA!
Kaitaba, we ndo umejaribu kueleza kitu ambacho kinavuta hisia za ukweli wa kisayansi.

Kama ndivyo, basi ni taarifa njema kwwngu na wengine wote jamvini, maana wengi tunaelekea hatukujua.

Lakini je, hizo kinga hushuka ghafla namna hiyo kila muda wa tendo la ndoa?
 
IKO KITU HAPA!
Kaitaba, we ndo umejaribu kueleza kitu ambacho kinavuta hisia za ukweli wa kisayansi.

Kama ndivyo, basi ni taarifa njema kwwngu na wengine wote jamvini, maana wengi tunaelekea hatukujua.

Lakini je, hizo kinga hushuka ghafla namna hiyo kila muda wa tendo la ndoa?

Jamani, kinga ya mwili siyo kama umeme wa betri za gari au redio ambao hupanda na kushuka kwa sekunde.... bao mbili au tatu kwa wiki kamwe haziwezi kusababisha mwanamke kushuka kinga ya mwili kiasi cha kuharibu ubora wa kinga kwenye maziwa.

Labda hapo niulize swali, ina maana kila ukichapa mama kinga yake inashuka?
 
Jamani, kinga ya mwili siyo kama umeme wa betri za gari au redio ambao hupanda na kushuka kwa sekunde.... bao mbili au tatu kwa wiki kamwe haziwezi kusababisha mwanamke kushuka kinga ya mwili kiasi cha kuharibu ubora wa kinga kwenye maziwa.

Labda hapo niulize swali, ina maana kila ukichapa mama kinga yake inashuka?

Kwa mujibu wa Kaitaba ndivyo hivyo.
Sijui majibu yake yana utafiti gani!
Vinginevyo kama ndivyo, hali hii inatisha.
 
Wiki nyingi sana Nyamayao!

Na hasa kunapokuwa na sababu zisizoeleweka kama hizo!

Hadi nikawa nafikiri nirudi kwa CHEUSI, yule wa zamani...!

Ona sasa....kule kwengine unatangaza kutaka kuoa...eti upo single....hapa una mywife wako mko na mtoto....tena kuna CHEUSI....wapi na wapi......watch out kuna ngwengwe mjomba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom