PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?