cinema za mkuu wa jumba jeupe

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Sep 24, 2012
823
372
siku moja baada ya rais kutangaza "eti" kuna wafanyabiashara wameficha sukari maeneo ya mbagala na tabata habari zikatoka "eti" sukari imekamatwa maeneo hayo kweli
swali langu kama rais alikwishajua hao jamaa wameficha kulikua na haja gani ya kutafuta kiki kwa kutangaza badala ya wanausalama kwenda kukamata hiyo sukari moja kwa moja bila mbwembwe za mkuu kuanza kutangaza
swali la pili mkuu akisema ikikamtawa itagawiwa bure je keshatangaza tutaanza kugawiwa lini? kama wasipoigawa kama alivyojinasibu hapo ndio nitajua ilikua movie tu ya mkuu
 
Mpira pasi Na sio butu butu, mkuu yeye Ni kocha hawezi funga goli ila wachezaji kwa nafasi zao wanatupia. Betting ruksa poa Na kocha anajua matokeo Na anaweka game plan Ili atusue. JPM tuko sawa Na style take Kama Jose Morinho ya kupaki bus nyie mnapenda udambwidambwi Kama arsenal ndio maana hamuelewi kabisa JPM anavyotafuta kubeba ndio.
 
nilisema tangu mwanzo.hata mama malechela kutolewa ukuu wa mkoa ni mbinu tuu ili aonekane anafanya kazi.hata zile bodi na wakurugenzi wanaofukuzwa ni ujanja wa kijinga.haongei kuhusu katiba kwa sababu yeye pia ni jipu.halafu kwa ujinga eti migiro balozi uk???
 
siku moja baada ya rais kutangaza "eti" kuna wafanyabiashara wameficha sukari maeneo ya mbagala na tabata habari zikatoka "eti" sukari imekamatwa maeneo hayo kweli
swali langu kama rais alikwishajua hao jamaa wameficha kulikua na haja gani ya kutafuta kiki kwa kutangaza badala ya wanausalama kwenda kukamata hiyo sukari moja kwa moja bila mbwembwe za mkuu kuanza kutangaza
swali la pili mkuu akisema ikikamtawa itagawiwa bure je keshatangaza tutaanza kugawiwa lini? kama wasipoigawa kama alivyojinasibu hapo ndio nitajua ilikua movie tu ya mkuu
Alitoa hadhara tu, sasa operation ikianza, watu wasilalamike
 
Back
Top Bottom