Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Taarifa za siri za CIA za miaka ya 1953 zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini kwamba baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka Tanganyika, mtu aliyepaswa kukabidhiwa nchi alikuwa ni kiongozi wa Wachaga Thomas Mariale.
Lakini katika nyaraka za shirika la Ujasusi la Uingereza la MI6 chini ya Fabian Society za mwaka 1944, zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini Chifu Kidaha alikuwa mtu sahihi wakukabidhiwa nchi baada ya Waingereza kuondoka.
Nyaraka za shirika la Ujasusi la Kanisa Katoliki la Jeisuti za mwaka 1942 kupitia kwa Kasisi Arth Wills na Wash zinaonyesha kwamba wao waliamini Kambarage Burito Nyerere ndie alikuwa mtu sahihi wa kukabidhiwa nchi baada ya Uingereza kuondoka, tangu hapo walimbatiza pale Tabora na kumbadili jina na kuitwa Julius Kambarage Nyerere, hii ilikuja baada ya kifo cha Chifu Burito, awali kulikuwa na mwendo mrefu wa kumshawishi Chifu Burito akubali mtoto wake ajiunge nao lakini mzee yule alipinga, .
Wazo lililoshinda ndio shirika lenye nguvu dunia....
Roma ikisema mashauri yote yamekwisha....
Kwa undani zaidi wa haya unaweza kusoma Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi,
+255715865544/+255755865544
Lakini katika nyaraka za shirika la Ujasusi la Uingereza la MI6 chini ya Fabian Society za mwaka 1944, zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini Chifu Kidaha alikuwa mtu sahihi wakukabidhiwa nchi baada ya Waingereza kuondoka.
Nyaraka za shirika la Ujasusi la Kanisa Katoliki la Jeisuti za mwaka 1942 kupitia kwa Kasisi Arth Wills na Wash zinaonyesha kwamba wao waliamini Kambarage Burito Nyerere ndie alikuwa mtu sahihi wa kukabidhiwa nchi baada ya Uingereza kuondoka, tangu hapo walimbatiza pale Tabora na kumbadili jina na kuitwa Julius Kambarage Nyerere, hii ilikuja baada ya kifo cha Chifu Burito, awali kulikuwa na mwendo mrefu wa kumshawishi Chifu Burito akubali mtoto wake ajiunge nao lakini mzee yule alipinga, .
Wazo lililoshinda ndio shirika lenye nguvu dunia....
Roma ikisema mashauri yote yamekwisha....
Kwa undani zaidi wa haya unaweza kusoma Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi,
+255715865544/+255755865544