Church burned in Algeria

Watangazie theist wenzako upuuzi huu lakini watu kama sie atheist ambao hatumjui Musa/Moses/Moshee hatuna imani hii.[/QUOTE]

So, you have got a Faith but not like that of Moses/Musa/Moshee!
 


Read here you will see why they can never condemn any atrocities committed by fellow Muslims.
[/FONT] Abu Hurairah (May Allah be pleased with him) reported: The Prophet (PBUH) said, "Allah will cover up on the Day of Resurrection the defects (faults) of the one who covers up the faults of the others in this world".

Commentary: Covering up the shortcomings and faults of people is an excellent manner. That is why this quality is very much liked by Almighty Allah. On the Day of Resurrection, Allah will give a matching reward to that man who has such a quality, which means that Allah will forgive his sins and will not call him to account for his sins. If at all He will do so, He will not do it publicly so that he is not embarrased before others. Then Allah may forgive him or send him to Hell for a short while.
[Al-Bukhari and Muslim]


Duh! Kumbe ndio sababu vurugu tupu...
That's the reason currently Churches are being burned down in Malaysia, Egypt, Algeria.
Does their Allah like that eeh?
 
Kutokuwa na Imani nayo ni Imani! Unajua maana ya Imani weye? Unaoneka umechagua Imani usiyoijua vema, ni afadhali ujiite Mpagani hapo utaeleweka vema.
Mambumbumbu ni wengi kwenye hii site

Kama hujasoma hata kamusi huna?

Atheists don't believe in God.

Theists do believe in God.

Pagans are wiccans or something. following one of the old religions that involves magic and whatnot.

Knowledge = to know
Believe = to understand without knowledge
 
Mambumbumbu ni wengi kwenye hii site

Kama hujasoma hata kamusi huna?

Atheists don't believe in God.

Theists do believe in God.

Pagans are wiccans or something. following one of the old religions that involves magic and whatnot.

Knowledge = to know
Believe = to understand without knowledge

Huyu mdeen wa atheist teyari ameshaanza kupanda jazba. Wewe bana unafuata na kuamini wa jina lako marehemu darwin.

Nimekuuliza swali, atheist ni nini, ukajibu utumbo. Sasa nategemea umesha kula majani ya Montego Bay, Jibu swali, je, atheist ni nini kama si deen?
 
Huyu mdeen wa atheist teyari ameshaanza kupanda jazba. Wewe bana unafuata na kuamini wa jina lako marehemu darwin.

Nimekuuliza swali, atheist ni nini, ukajibu utumbo. Sasa nategemea umesha kula majani ya Montego Bay, Jibu swali, je, atheist ni nini kama si deen?
Nimekuambia ijue maana ya Knowledge na Believe

Atheist hatuna kitu kinaitwa
Believe au kwa kiswahili IMANI

Kama wataka nikusaidie nikwamba IMANI= Kitu unachokiamini lakini huna uhakika nacho

Kujua= kitu ambacho una uhakika nacho.

angalia sentensi hizi mbili tofauti.

1. Watanzania walimchagua JK wakiwa na IMANI kwamba atawaletea maendeleo kwa haraka.

Hii sentensi ya kwanza inaweza kua kweli ataleta maendeleo haraka na hapo hapo inaweza kua hataleta maendeleo haraka.

2. Watanzania WANAJUA kwamba JK ni rais wa Tanzania.

KUJUA= Uhakika
KUAMINI= Kitu ambacho hujakipatia uhakika bado.


 
Watangazie theist wenzako upuuzi huu lakini watu kama sie atheist ambao hatumjui Musa/Moses/Moshee hatuna imani hii.[/QUOTE]

So, you have got a Faith but not like that of Moses/Musa/Moshee!

Islam: Ten Commandments

Catholic and Lutheran Christianity: Ten Commandments


Judaism : Ten Commandments


Wote hawa wanafuata amri za mtu mmoja ambazo mpaka sasa huyo Moshee hana uhakika wowote
kuweko kwake
.
 
Nimekuambia ijue maana ya Knowledge na Believe

Atheist hatuna kitu kinaitwa Believe au kwa kiswahili IMANI

Kama wataka nikusaidie nikwamba IMANI= Kitu unachokiamini lakini huna uhakika nacho

Kujua= kitu ambacho una uhakika nacho.

angalia sentensi hizi mbili tofauti.

1. Watanzania walimchagua JK wakiwa na IMANI kwamba atawaletea maendeleo kwa haraka.

Hii sentensi ya kwanza inaweza kua kweli ataleta maendeleo haraka na hapo hapo inaweza kua hataleta maendeleo haraka.

2. Watanzania WANAJUA kwamba JK ni rais wa Tanzania.

KUJUA= Uhakika
KUAMINI= Kitu ambacho hujakipatia uhakika bado.
Nimekuuliza swali, atheist ni nini, ukajibu utumbo. Sasa nategemea umesha kula majani ya Montego Bay, Jibu swali, je, atheist ni nini kama si deen?

Hivi bado unakaedeleza kale kautamaduni kako ka kuogopa kujibu? Unajibu vitu ambavyo haujaulizwa!!!

Narudia tena hapa chini:

Jibu swali, je, atheist ni nini kama si deen?
 
Nimekuambia ijue maana ya Knowledge na Believe
Atheist hatuna kitu kinaitwa
Believe au kwa kiswahili IMANI
Kama wataka nikusaidie nikwamba IMANI= Kitu unachokiamini lakini huna uhakika nacho
Kujua= kitu ambacho una uhakika nacho.
angalia sentensi hizi mbili tofauti.
1. Watanzania walimchagua JK wakiwa na IMANI kwamba atawaletea maendeleo kwa haraka.
Hii sentensi ya kwanza inaweza kua kweli ataleta maendeleo haraka na hapo hapo inaweza kua hataleta maendeleo haraka.
2. Watanzania WANAJUA kwamba JK ni rais wa Tanzania.
KUJUA= Uhakika
KUAMINI= Kitu ambacho hujakipatia uhakika bado.


Sijui kama inawezakana kuendesha hapa majadiliano ya maana (kila dakika 5 mtu anaingilia na kutangaza ama Qurani ni ya sheitani ama imla ya mungu...)
ILA tu ningependa kukupima kidogo..

1) Umeanza vema kwa kupendekeza matumizi yako ya maneno

Haya lakini sikubali.
Kwangu kama Mkristo "imani" ni zaidi kusadiki, kutegemea. Ni kweli ya kwamba kuna maana mbalimbali ya neno hili (jinsi ilivyo kwa maneno mengi; maana kamili hutegemea matumizi). Je kuna sharti yoyote kukubali namna yako ya kuelewa neno hili?

2) unatumia "kujua" kwa njia ya falsafa umbile. Lakini unajuaje kile unachofikiri kujua?
Unajuaje ya kwamba yale unayoona si ndoto? Maana huwezi "kuona" kitu chochote chenyewe bali unapokea tu mishale ya nuru iliyoakisiwa na uso wa nje wa kile unachotazama. Yale unayopokea inaunganishwa ndani ya kichwa chako kuwa picha ya dunia, si dunia yenyewe.

Wanafalsafa walio wengi hawajiamini kujadili kuhusu "kujua" jinsi unavyoifanya maana wamefahamu tatizo la "kujua".
Kwangu mimi Paulo alitamka vizuri tatizo hili katika 1. Kor 13.13 akiongeza imani (tegemeo) ya kuwa katika umoja na Mungu tutafikia kuona kamili.
"Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana."

3) Halafu nashangaa jinsi unavyotumia lugha "sisi maatheisti". Huko juu umekubali ya kwamba wauaji wakubwa wa karne ya 20 yaani Stalin na Mao walikuwa wa kabila hili. Unapenda kweli kusimama kando ya hao???
 
ἄθεος / Atheism = "without gods", or In the broadest sense, it is the absence of belief in the existence of deities

Atheist hatuna kitu kinaitwa Believe au kwa kiswahili IMANI

Kama wataka nikusaidie nikwamba IMANI= Kitu unachokiamini lakini huna uhakika nacho

Kwahiyo unakiri hapa kuwa ni belief ya kuwa god does not exisit?

Unaona jinsi unavyo onekana kituko hapa.

Wewe umedai kuwa hakuna kitu kama belief kwenye atheism, kwa kuwa unatumia collective memory, umesahau na kuja na jibu kuwa ni imani ya kutoamini kuwa kuna Mungu.

Umeshakula majani ya Montego Bay weye?
 
3) Halafu nashangaa jinsi unavyotumia lugha "sisi maatheisti". Huko juu umekubali ya kwamba wauaji wakubwa wa karne ya 20 yaani Stalin na Mao walikuwa wa kabila hili. Unapenda kweli kusimama kando ya hao???
Nimemiambia leteni facts za mauaji ya Stalin na Mao
Na mimi nitaleta facts kuhusu mauaji ya watu wa deen halafu tulinganishe nani muuaji mkubwa.

Kipengele nilicho-delete nitakitumia kukujibu baadae
 
Nimemiambia leteni facts za mauaji ya Stalin na Mao
Na mimi nitaleta facts kuhusu mauaji ya watu wa deen halafu tulinganishe nani muuaji mkubwa.

Kipengele nilicho-delete nitakitumia kukujibu baadae
"An atheist, Pol Pot suppressed Cambodia's Buddhist religion:
# monks were defrocked; temples and artifacts, including statues of
# Buddha, were destroyed; and people praying or expressing
# other religious sentiments were often killed.
# ...the government emptied the cities through mass evacuations
# and sent people to the countryside. Cambodians were overworked
# and underfed on collective farms, often succumbing to disease or
# starvation as a result. Spouses were separated and family meals
# prohibited in order to steer loyalties toward the state
# instead of the family.
#
# About 1.7 million Cambodians, or about 20 percent of the population,
# were worked, starved, or beaten to death under Pol Pot's regime."
 
Nimemiambia leteni facts za mauaji ya Stalin na Mao
Na mimi nitaleta facts kuhusu mauaji ya watu wa deen halafu tulinganishe nani muuaji mkubwa.

Kipengele nilicho-delete nitakitumia kukujibu baadae


First, Lenin's Red Terror, Atheism in praxis;

# Russian Civil War (1917-22): 9 000 000 [make link]
* Eckhardt: 500,000 civ. + 300,000 mil. = 800,000
* Readers Companion to Military History, Cowley and Parker, eds.
(1996)
[
http://college.hmco.com/history/readerscomp/mil/html/mh_045400_russia...]:
 
Nimemiambia leteni facts za mauaji ya Stalin na Mao
Na mimi nitaleta facts kuhusu mauaji ya watu wa deen halafu tulinganishe nani muuaji mkubwa.

Kipengele nilicho-delete nitakitumia kukujibu baadae

6 to 8 million people died under Lenin from war, famine etc.
* Mastering Twentieth Century Russian History by Norman Lowe (2002)
o TOTAL: 7,000,000 to 10,000,000
o Red Army
+ Battle: 632,000
+ Disease: 581,000
o Whites: 1,290,000 battle + disease
o White Terror: "tens of thousands"
o Red Terror
+ Executed: 50-200,000
+ Died in prison or killed in revolts: 400,000
o Typhoid + typhus
+ 1919: 890,000
+ 1920: >1M
 
Nimemiambia leteni facts za mauaji ya Stalin na Mao
Na mimi nitaleta facts kuhusu mauaji ya watu wa deen halafu tulinganishe nani muuaji mkubwa.

Kipengele nilicho-delete nitakitumia kukujibu baadae
Richard Pipes, A concise history of the Russian Revolution
(1995): 9 million deaths, 1917-1922
o Famine: 5M
o Combat: 2M
+ Reds: 1M
+ Whites: 127,000
o Epidemics: 2M
o not incl.
+ Emigration: 2M
+ Birth deficit: 14M
* Rummel:
o Civil War (1917-22)
+ War: 1,410,000 (includes 500,000 civilian)
+ Famine: 5,000,000 (50% democidal)
+ Other democide: 784,000
+ Epidemics: 2,300,000
+ Total: 9,494,000
 
Back
Top Bottom