Chupi imeleta kizaazaa

Nimecheka sana hapa.maana mpangaj mwenzangu ni bachela nae akifua kuful zake huzianika nje,mvua ikinyesha na acpokuwepo huwa napata wakat mgumu sana!NIMUANULIE?au niziache?
Mkuu nipe pole usinicheke,ila nakushauri usiziguze yasije yakakukuta yaliyonikuta mie.Nalog off
 
Hii ni stori ya kutunga na hatudanganyiki kajipange uje kivingine
 


Pole mjomba. mke anaonekana ana wivu sana. Mpe muda hasira zikipungua mfuate uongee naye taratibu atarudi tu.
 
Hii ni stori ya kutunga na hatudanganyiki kajipange uje kivingine
Hamdanganyiki wewe na nani? ina maana hata kuandika hapa wamekutuma ili ujibu?jiongelee peke yako mkuu,bianfsi sina uwezo wakukuaminisha wewe,unataka amini hutaki,za mbayuwayu changanya na za kwako,mke wangu kaondoka.Nalog off
 

mmmh jamani hadithi hii imenikumbusha zile hadithi za bulicheka na lizabeti! au hekaya za abunuwasi! the Boss alisema kweli MMU huezi kuwa bored !
 
mmmh jamani hadithi hii imenikumbusha zile hadithi za bulicheka na lizabeti! au hekaya za abunuwasi! the Boss alisema kweli MMU huezi kuwa bored !
mwenzio yamenikuta wewe unajitoa MUHANGA kwa kejeli hizi? Nalog off
 
bafu lenu lina mlango wa gunia????
 
afadhali leo nimeingia humu maana ipo siku yangenikuta,hapa kwetu ni mabachala na mdada yupo mmoja ila siku nikiwa nyumbani huwa ananiambia kama mvua ikinyesha basi nimuanulie au zikikauka maana huwa anachelewa na mie huwa nazichanganya nguo zake hizo ndogo na zile kubwa halafu nazikunja kunja pamoja ila huwa nakuwa na mawazo sana ila sasa nitamuambia maana gf wangu karibia arudi toka mkoani nisijevunja uhusiano mie
Pole sana mkuu maana nimo humo
 
bafu lenu lina mlango wa gunia????
Hapana ni mlango wa mbao ila kukiwa hakuna mtu inabidi mlango uwe wazi muda wote,kwahiyo kitu kikiwa nyuma ya mlango mpaka utakapoufunga ndio utakiona.Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…