Unapata ajira bila shaka, labda kama kwenye taasisi au shule za binafsi ndio tatizo maana hadi uwe na vyeti vya dini, sijui vya ubatizo n.k lakini serikalini ni la manyani kila mtu anaajiriwa bila kujali chuo gani alisoma. Kasome na ajira utapata tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.