chuo/sehemu ya kusoma information security hapa bongo

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,722
Reaction score
2,401
habarini ndugu....
natafuta sehemu ama chuo cha kusoma mambo ya information security hapa tanzania hasa dar es salaam.

natanguliza shukrani
naombeni msaaada wenu
 
level gani? kama Masters, nenda iaa
 
Nenda UDOM-CIVE( College of informatics and virtual education) ukapate what u need, pale utakutana na Mr. Tabu Kondo aka Waukae. Naamini hutojutia baada ya kutoka pale
 
kwa bongo sjui,ila cheki USIU-nairobi,kenya.hata mambo ya forensics kwenye cyber crime nadhani wanayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…