Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Wadau!
Naomba wenye uzoefu waniambie kama itawezekana mtoto kupokelewa Chuo Kikuu mwaka wa Kwanza akiwa hana Cheti cha Matokeo (Results Slip).
Karibuni,
Pigangoma
Naomba wenye uzoefu waniambie kama itawezekana mtoto kupokelewa Chuo Kikuu mwaka wa Kwanza akiwa hana Cheti cha Matokeo (Results Slip).
Karibuni,
Pigangoma