Chachata
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 201
- 134
Mimi napata shida na neno Chuo Kikuu, Sijui kama ndiyo tafasiri sahihi ya neno University, neno University limetokana na Univesal likibeba maana ya kitu kinachotambulika ulimwenguni kote. Sasa siju neno hili limetafsiriliwa kwa aina gani ya tafsiri. naomba tafsiri sahihi ya neno Univesity.