copyright
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 258
- 195
Habari wanajamvi?
Mimi niliapply UDSM na vyuo vingine tofauti katika round 3 na nikafanikiwa kuwa multiple selected. Katika chuo kikuu Dar es Salaam nilichaguliwa kozi ya BSc with Education na nikaconfirm kabisa, lakini kianzia juzi j'mos nikiingia kwenye akaunti yangu inaniambia, 'sorry you have not selected.'
Je, kwanini inaonyesha hivyo, ni changamoto ya system? Au nimeenguliwa?
Naomba kujua shida ni nini kwa anayejua maana nimeanza kuwa stressed coz hata simu ukiwapigia hazipokelewi.
Ahsante.
Mimi niliapply UDSM na vyuo vingine tofauti katika round 3 na nikafanikiwa kuwa multiple selected. Katika chuo kikuu Dar es Salaam nilichaguliwa kozi ya BSc with Education na nikaconfirm kabisa, lakini kianzia juzi j'mos nikiingia kwenye akaunti yangu inaniambia, 'sorry you have not selected.'
Je, kwanini inaonyesha hivyo, ni changamoto ya system? Au nimeenguliwa?
Naomba kujua shida ni nini kwa anayejua maana nimeanza kuwa stressed coz hata simu ukiwapigia hazipokelewi.
Ahsante.