AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.