Chuo kikuu chenye ada rahisi Tanzania

Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.
 
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.


Hahaha duuh huyo jamaa wa Law Muccobs aache tu...bora asome sociology au community development hahahah ni sheeder kwa style hiyo. .
 
Hahaha ada ya chekechea. Baby Class. Ila kweli Udom ni cheapest so far hata SAUT nao ni cheap sema wanarundika wanafunzi wengi kwenye course moja. Eg Public Relations and Marketing wanafunzi 800

sasa hapo inakuwaje wakati wa lecture mkuu?
 
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.

Hahahahaaaaaaaaa
 
Chuo chenye bei rahisi ni MUCCOBS mkuu huoni hata elimu yake ni yakimazabezabe., kuna jamaa yangu ndo yupo Law pale yani hata definition ya Human right hajui, Baba yake anampango wa kumuachisha tena analalamika bora hizo fees anazomlipia jamaa ni bora afuge sungura na kuku bloira.

labda apite kwanza SUA
 
Back
Top Bottom