nenda kwenye website yao udownload prospectors utapata kila kitu,Hivi ni kweli kwamba Chuo kikuu huria ndiko ada nafuu? Je ada Sh.ngapi kwa mwaka? Hivi mwisho wa reg. kwa foundation course lini?
Nimepitia tcu guideline book University of Dodoma ndo cheapest university in terms of fees
kweli mkuu unakuta kozi kama sociology ada laki7(ada ya chekechea tena baby class) wakati MD kiu mil9 elimu ya out ngumu isitoshe kama huna kazi utakuwa muzururaji tu kitaa
Nina kijana wangu alimaliza form 4 mwaka 2013 nitajuaje kama kachagulia awamu ya pili
Naomba maelekezo jinsi ya kuingia tafadhari nakuomba