TwendeSasa
Senior Member
- May 24, 2008
- 128
- 116
Taarifa za kuaminikika toka chuo kikuu cha dsm ni kwamba kuna mgomo unaendelea ukiwa na maandamano kuzunguka maeneo ya chuo. Na wanafunzi wamejitokeza kwa wingi na kwa umoja wa ajabu huku wa
kiimba na wakilaani vitendo viovu vya serikali.
MADAI YAO
kupandishiwa hela ya kujikim kutoka 5000 hadi 10000
kupinga Tamko la uvccm
kiimba na wakilaani vitendo viovu vya serikali.
MADAI YAO
kupandishiwa hela ya kujikim kutoka 5000 hadi 10000
kupinga Tamko la uvccm