semausikike
New Member
- Apr 10, 2011
- 4
- 0
Wadau naomba mnisaidie, nimememaliza chuo kikuu lakini wanakataa kunipa cheti changu kwasababu -nimepoteza vyeti vya kidato cha nne na cha sita.
Je ni tumie njia gani ili Chuo kikuu cha Dar es Salaam kinipe cheti changu? Je kuna njia yoyote ya kisheria ninaweza kuitumia kuwabana ili niweze kupata vyeti vyangu na kuendelea na masomo zaidi sehemu nyingine.
Naomba msaada wenu!
Je ni tumie njia gani ili Chuo kikuu cha Dar es Salaam kinipe cheti changu? Je kuna njia yoyote ya kisheria ninaweza kuitumia kuwabana ili niweze kupata vyeti vyangu na kuendelea na masomo zaidi sehemu nyingine.
Naomba msaada wenu!