David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 928
- 1,799
JK kateuliwa kuwa chancellor na Magufuli mwaka2016Jakaya kateuliwa kuwa MKuu wa chuo baada ya Magufuli kufariki??
Kagua tena taarifa zako!!
JK kateuliwa kuwa chancellor na Magufuli mwaka2016Jakaya kateuliwa kuwa MKuu wa chuo baada ya Magufuli kufariki??
Kagua tena taarifa zako!!
Wanajenga kwa kasi bila viwangoZile zenye "Joint Expansion" na aliyepiga picha akasukwa sukwa??
Yaani Majengo ya pale Magomeni yana nyufa za kutosha na zile Hosteli zake pia ni hivyo hivyo!!
Bado zipo na wanaongeza floor juu, kama hauko Dar basi habari ndio hiyo ikufikie.
Si ndiye alijenga zile hostel zenye expansion joints au siyo yeye?
Eti kwako ndiyo mtu smart sasa sijui wewe utakuwa mtu wa aina gani kama yeye kwako ndiye mtu smart.
Kupumzishwa mkuu!Ukuu wa chuo mbona muungwana alikuwa nao kabla hata ya jamaa kupumzika
Lakini si ni Jiwe ndiyo alizijenga hizo hostel chini ya kiwango?Bado zipo na wanaongeza floor juu, kama hauko Dar basi habari ndio hiyo ikufikie.
Bwana yule alichota pesa hazina tu akapeleka hapo chuo sasa hizi za kumalizia au kuendeleza ujenzi zinaenda kwa hatua na kwa budget..Hayati Rais Magufuli aliwajengea UDSM hosteli za kulala wanachuo nzuri na za kisasa kabisa, cha kushangaza nimerudi baada ya miaka miwili hostel bado hazijafanyiwa finishing kwenye flat zake za juu. Juu ya hizo hosteli Kuna mirunda na magogo Kwa kweli inashangaza.
Ikumbukwe kabla ya hostel za Magufuli kujengwa wanafunzi wa chuo kikuu Cha Dar es Salaam walikuwa wanateseka sana na wengine kubakwa kila wakienda kupanga mitaani lakini Sasa shida hiyo haipo lakini hazimaliziwi vizuri mpaka leo.
Shida ni nini wakati uongozi wa UDSM wanakusanya hela kutoka Kwa kila mwanafunzi?
Ziko na kiwango kinachotakiwa.Lakini si ni Jiwe ndiyo alizijenga hizo hostel chini ya kiwango?
Mkuu mbona hujibu swali, nauliza si ni Jiwe alijenga hizo hostel chini ya kiwango? Achana na kama kuna muendelezo wa zingine baada ya yeye kufa.Ziko na kiwango kinachotakiwa.
DuhhMkuu mbona hujibu swali, nauliza si ni Jiwe alijenga hizo hostel chini ya kiwango? Achana na kama kuna muendelezo wa zingine baada ya yeye kufa.
DahZiko na kiwango kinachotakiwa.