mkuu me elimu ya bongo ilikuwa kizungumkuti kwangu, baada ya kumaliza form vi nikapata udahili mlimani but unfortunately wakanila kichwa tena kwa mambo ambayo sikutegemea kabisa, mwanaume nikajikaza nikawa mpole nikaaply udom wakanidahili koz moja ya geologia nikasoma mwaka mmoja but ufundishaji wao na namna wanavyomtreat mwanafunzi wa chuo kikuu ukawa si wa kiungwana... nikaona nikiendelea kusoma pale nitapoteza mda wangu na wataniondolea na confidence pia nikasepa for good will.. nikaja huku ambapo kidogo wanamheshimu na kumvalue mwanafunzi na pia elimu ipo kwa ajili ya kukupa mwanga tofauti na huko nyumbani wanapokuondolea hata uwezo wa kujiamini maana wakufunzi hawataki hata uwaulize swali na wakikujibu wanaweka na vijembe juu. shit!