Razakyeliasy
Member
- Feb 14, 2014
- 9
- 0
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu mm nimesoma sheria katika chuo cha utumishi (Tpsc) wa umma Mtwara , na nataka kuendelea na elimu ya juu lkn cha ajabu nataka kuendelea na bachelor , nimefika Nacte wananambia kuwa course nlokuwa nasoma Tpsc haijasajiliwa , na nimeangalia mtandaoni nacte ni kweli course haijasajiliwa , naombeni ushauri wenu wasomi