Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Nimemaliza darasa la saba, kwa hiyo natafuta Chuo chochote cha Ujasiriamali. Mwenye habari yoyote kuhusu chuo kama hicho anijuze. Sina uhakika kama VETA inatoa elimu ya ujasiriamali hasa maswala ya biashara. Naombeni msaada wenu wa kiushauri wana jukwaa