Chuo cha tumaini iringa ufisadi mtupu

SIPIYU30

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
1,614
2,009
Jamani nimeprove tetesi hizi ambazo zimekuwa zikisemwa juu juu kuhusu chuo kikuu cha Tumaini kuwa kinaendeshwa kiundugu, kikabila na kidini zaidi. Watu wengine tunaonekana kama takataka tuu, mtu ukiwa na claims zako unaonekana kama vile rabbish tuu. Nobody cares about you. Imenikuta na nimejifunza mengi kuhusu vyuo vya private.
 
Jamani nimeprove tetesi hizi ambazo zimekuwa zikisemwa juu juu kuhusu chuo kikuu cha Tumaini kuwa kinaendeshwa kiundugu, kikabila na kidini zaidi. Watu wengine tunaonekana kama takataka tuu, mtu ukiwa na claims zako unaonekana kama vile rabbish tuu. Nobody cares about you. Imenikuta na nimejifunza mengi kuhusu vyuo vya private.

yaani wewe msomi wetu unatoa accusations kali kwenye title, then ndani pia unaongezea zingine; halafu unaishia kuwaambia watu kwamba umejifunza kwasababu yamekukuta. Sasa unataka watu wajadili nini hapa? tatizo ni nini? jaribu kuelewa nini unataka kuandika na mantiki yake kabla hujachukua hatua ya kuandika. Otherwise, tunapata shida kukuelewa na wewe.
 
jamani mnajua tumaini wameanzisha kituo cha kurudia mitihani ya form 4 na huyu mleta thread ni mmoja wa hao wanafunzi wakituo hiki
 
Jamani nimeprove tetesi hizi ambazo zimekuwa zikisemwa juu juu kuhusu chuo kikuu cha Tumaini kuwa kinaendeshwa kiundugu, kikabila na kidini zaidi. Watu wengine tunaonekana kama takataka tuu, mtu ukiwa na claims zako unaonekana kama vile rabbish tuu. Nobody cares about you. Imenikuta na nimejifunza mengi kuhusu vyuo vya private.

Tuambie zaidi, tafadhali.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom