-- Nafahamu karibia vyuo vyote hapa nchini ila hivi vya St. Joseph, hawa Wahindi hawakujipanga kutoa elimu tarajiwa kwa wantanzania, anzia pale Kiluvya ambacho ndo chuo chao cha kwanza hapa Tz, manyanyaso ni mengina dharau zao kwa watz ndo usiseme. Nenda pale Ruwihiko Songea balaa tupu.................. hata shule zetu za kata ni afadhali yaani mwaka jana tu ndo wamehamisha ile shule yao ya secondari na primary ya Taifa kabla ya hapo, Mungu wangu............. majengo ovyo madarasa ndo walikua wanachangia kuanzia shule ya msingi mpaka chuo.
-- Msiba mwingine ni pale Makambako yaani hata vibanda vya Machinga, au Mamalishe ni afadhali, na hali ni ileile ya manyanyaso kwa wazalendo, sijui hawa TCU wanatumia vigezo gani kuwakubalia hawa jamaa kuanzisha hivi vyuo vyao hovyo kuliko hata shule zetu za kata
-- haya Arusha nako ndo hivyo..............