vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 532
- 211
kuna prof aliwapa sap mkewe na mwanae,
ipo bomba sana iyo jombi
kuna prof aliwapa sap mkewe na mwanae,
tupo 60 ila at first post zilipotoka tulikuwa ka 40 ivi
kuna prof aliwapa sap mkewe na mwanae,
tupo 60 ila at first post zilipotoka tulikuwa ka 40 ivi
wakuu hizo hostel unalipia wapi chuo hapo hapo au maana nimeona kwenye website yao kwamba ukitaka hostel unabidi ufanye contact na MISAB ndo organization inahusika na accomodation
wanakuwaga wanatoa second selection kweli maana kuna rafiki angu ameapply hajatoka kwenye hayo majina
unalipia ukifika chuo na huwez kulipia hostel hadi uwe registered so fika chuoni kwanza, ila hostel za chuo magumashi mkifunga ata wiki moja mnatakiwa kutoa kilakitu room..
daah sasa kupanga nje ya chuo vipi vyumba vinapatikana kweli na gharama yake ikoje?
swali la mwisho mkuu maana umenisaidia sana hivi sports and games fee inalipwa kwa ajili gani au kuna michezo gani ya maana mpaka ulipe hela maana unawez lipa hiyo fee usione sports wala games