Chuo cha DIT ni ngome ya CCM

Chuo cha DIT ni ngome ya CCM

Sishangai kusikia hayo kwa DIT. Prof Kondoro ana hati miliki ya kile chuo na inabidi alipe fadhila kwa waliompa hiyo hati. Kuna vitengo hapo chuoni mna vilaza wa kutupa. Nenda masijala, Ofisi ya mshauri wa wanafunzi ndo inaongoza kuanzia Wardens hadi jikoni. Dispensary ya chuo ndo kumejaa vilaza tupu. DIT nje ingia ndani na ujionee.
 
attachment.php
 
Mkuu 500 wanatoka wapi hapo?
maana nikihesabu haraharaka kwenye picha kuna mistari 20 kwa 10 kwa kudaria, sasa hiyo mbona ni 200 tu?
 
Tawi LA Chama Cha Mapinduzi DIT Lawakaribisha wanachama wapya Na Kuwaapisha Wanachama Wapya Na Viongozi Wapya.

Sherehe hii imefanyika ktk Ukumbi wa Coco Beach.

Nimepata Fulsa yakuzungumza Na Makada Hawa wa DIT.

Vijana wamegundua Upuuzi wa CDM Baada ya Vijana zaidi ya 300 Ku Disqualify Masomo yao.
CDM kimekuwa ni Chama chakuharibu Maisha ya Vijana wa Tanzania Kwa Kuwasababishia Matatizo Mashuleni, Mtaani, Ulemavu, Kupoteza Maisha Maisha, Kupoteza Shule, Kupoteza Kazi Na Mengine Mengi.

Ni Juzi tu UDOM vijana wengi wamepokea kichapo Na Kupoteza Masomo Na Kuuumia pia baada ya CDM kuwadanganya Wanafunzi njia zakudai Maitaji yao.
Pole sana CDM mwaka huu ndio Mtajua tu CCM ninani.

Back to DIT,
Vijana walikusanyika ni Zaidi ya 500 na Wameapa wakiwa Na Card za Chama Cha Mapinduzi .
Hakika tuna home wa CCM Pale DIT.
Waliochukua Form nipamoja wa Vijana waliokuwa wakiongoza Kwa Migomo DIT waliokuwa makada wa CDM Na CUF wamerudisha Card nakuingia CCM.

Kidumu Chama ChaMapinduzi DIT.

Hiki chuo changu sasa kimekuwa so female kuliko CBE, gays wameongezeka mno mpirani wanashikwa mata ko na watoto wa CBE. Niliacha cheti changu hapo sikifati tena hacha kiozee hapo. Nakumbuka chuo kizima tulitoka kwenda kuwa mawakala wa kujitolea wa NCCR temeke wakati Mrema anagombea ubunge. Tuliwasimamia kooni wazee wa ccm Mrema akaibuka na ushindi. Leo chuo kimekuwa kambi ya masho ga wanaume wa DIT wanashindana na wanawake wa CBE kupaka poda, hii si sawa.
 
Chama cha Mapinduzi Kazi yake Nikujenga nakufanya Kwa Jitihada zote pia Kuhakikisha Kinawapatia Vijana Fulsa Kwa Hali Na Mali.
Sasa Najua Ma CHADEMA roho zitawauma sana Kwakuwakosa Vijana Hawa ndio Maana Mnakalia kuwapotosha Kwa Kufanya Vurugu.
Hakika Mtaendelea Kuwaza Madaraka Mpaka Mwisho wa Dunia hii.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Unasema DIT Chadema kili wadanganya wanafunzi waka disculified?
Nimemaliza pale ma unajua kilichotokea ama unaropoka?

Huyo barongo mwenyewe alidisco ndo karudi sasa hv baada ya waliokuwa mwaka mmoja nae kumaliza chuo ambae nami nilikuwemo.

Ada ilipandishwa kinyemela na hao viongozi wa ccm aliyekuwa raisi Ndugu Nuhu Chiduo, bila hata hoja kupitishwa ijadiliwe na baraza la mawaziri, na bunge kwa ujumla.
Ada ilipanda kwa uwiano tofauti, kwa mfano mwaka wa mwisho kulikuwa na nyongeza ya 254,000/=
Kitu ambacho ni kinyume na taratibu za chuo.

Kumbuka kwa ada hiyo wapo waliokuwa wanalipiwa na bodi, mfano kama mtu ubalipiwa 100% ambayo ni 1,020,000/= je hiyo nyongeza ya 254,000/= bodi wata kuongezea bila taarifa na utaratibu wowote?
Walienda bodi na bodi haikuwa na taarifa yeyote juu ya ongezeko hilo.

Nilikuja gundua wachumia tumbo ni wengi kwakuwa hata katiba ya chuo ambayo nayo ilipitishwa kinyemela na raisi huyo chiduo hakuwa anaijua.
Kwani katiba inasema semester ya pili week ya pili uchaguzi ndo unatakiwa ufanyike na ikiwa mpaka week ya sita ikiwa bado basi dean of students alikuwa anatakiwa kutoa taarifa kwa wanafunzi kuna nn?

Kweli ccm ni kaa liloungua na linajifariji polepole, katiba ilipitishwa kinyemela na ilipokuja swala la kuchaguliwa wajumbe wa tume ikaleta shida kwenye vifungu kuwa wao walikuwa wanajua ni wajumbe 15 kumbe hata kuisoma hawajui kumbe ni wajumbe 45 na ni kijana mmoja machachari lumola steven kahumbi ambaye ni waziri mkuu alikuja na hoja hiyo raisi, dean of students na mkuu wa chuo wakabisha.
Ilipo pelekwa kwa mwanasheria kutafsiri, mwanasheria akasema lumola steven kahumbi yupo sawa.

Mchakato uliendelea wakachaguliwa wajumbe 45 na kulikuwa na kikundi chao cha kihuni walikianzisha kwenye katiba bila wao kujua athari yake, wakijua kama ni njia yao ya kujipatia ushindi.
Nacho ni judicial organ ambayo kiutaratibu ilitakiwa kuanza kazi baada ya tume kutangaza raisi.

Mchakato ulijazwa ghiliba na hila za kila namna tena kutoka utawala kwa kuwa aliyekuwa anagombea uraisi hwakuntaka ni mtu fuatiliaji sana, kwani shughuli yake walisha ionja akiwa waziri wa mikopo.
Alikuja kuapishwa mwishoni kabisa mwa semester tena kwa mbinde hii ni baada ya wahafidhina kushindwa na hila zao hasa kwenye vifungu vya sheria kwani wao wamekalia kuiba hela kama raisi aliyepita kwa kula hrla za kontena la futi 40 akatuletea la futi 20.

Baada ya raisi kuapishwa alianza kudeal na ishu ya wanafunzi wote kufanya mitihani then wasiolipa ada matokeo yao yazuiwe, kwakuwa chuo walikuwa na lengo la kuwazuia wale wote ambao hawakuwa wamelipa ada wasifanye mitihani, then waje pewa mitihani special.
Ndugu zangu mitihani special ni mibaya kwakuwa ni sawa na kufanya sup kwa masomo yako yote kitu ambacho tulipingana nacho.
Hapo ndo mgomo ulipo anzia, ila tulifanikiwa kwenda mpaka wizarani na waziri kukubali wanafunzi wafanye mitihani then wasiolipa ada wazuiliwe matokeo yao.

Ninacho taka kuwaambia nyie vijana wa ccm hapo chuoni hamjielewi.

Nimesoma chuo hicho kwa miaka takribani sita. Nyie kazi yenu nikula hela za wanachuo na kufuata ya mabwana zenu huko utawala.

Yaan bajeti ya wanafunzi haipandi hata siku moja y? Facult nimeongeaka na wanafunzi wamekuwa wengi bado bajeti ileile?
Bado pia mkiomba hela ya bajeti ya sisi wanafunzi tuliyolipia 10,000/= ambayo chuo kinadai kibatushikia wanakuambia chuo hakina hela, meanwhile hela yetu ibatumika kwingine?
Haya yote kila raisi anayeincia wakijua atapambana na hayo wanaleta hila za kuntafutia sup kama aliyechaguliwa juzi hapa tu ili kumuondoa.

Na maajabu bila chuo kujua kwakuwa hata sheria kusoma ni shida, raisi wame mwondoa kwa kuretake but vice kabaki wakati ile ni couple na katiba inasema mmoja akidisco maanake ni couple nzima inaondoka na uchaguzi unarudiwa.

Bado najiuliza vice anafanya nn hapo?, am ndo nyie wacoco beach ambao imebaki porojo tuu na sheria ni mabwana zenu wa utawala?

Shem on u guys, tunahitaji vijana wa kulivusha taifa hili tulipo na kutupeleka kwingine tunako staili.
 
Hahahahahhahaa watu 500 labda na ukoo wenu. Huna hata soni kwa kudanganya na kuweka picha?
 
Hahahaaa Alvoo Naina Povu Linakutoka kupingana Na Ukweli wenyewe.
Wapinzani wa CCM mtaendelea Kuishi Kwa Matumaini tu kuwa IPO siku mtaitoa CCM ktk Reli kumbe mpaka Kufa hamtaitoa Kamwe
 
Duh... Huyu raia mzushi...dit unawezaje kubeba watu 500? Haiwezekan, kwa msul huu wa dit watu wote hao wapate tym ya kwenda coco beach... Shame on u... Nipo dit, cjackia hzo habar na nakaa campus.... Labda mlienda watatu ukasema mna ngome...
 
Unafki.mbaya sana

Mimi nipo dit.na kikubwa kilichofanyika ni kuwa vijana hao walipewa hongo.kati ya elfu 20 na elfu 30 ili waweze kujiunga na ccm....


Na ukweli nikuwa vijana hao wamekiri kutumia pesa ya ccm lakini binafsi wanajijua hawapo ccm.na hawaipendi
 
Tawi LA Chama Cha Mapinduzi DIT Lawakaribisha wanachama wapya Na Kuwaapisha Wanachama Wapya Na Viongozi Wapya.

Sherehe hii imefanyika ktk Ukumbi wa Coco Beach.

Nimepata Fulsa yakuzungumza Na Makada Hawa wa DIT.

Vijana wamegundua Upuuzi wa CDM Baada ya Vijana zaidi ya 300 Ku Disqualify Masomo yao.
CDM kimekuwa ni Chama chakuharibu Maisha ya Vijana wa Tanzania Kwa Kuwasababishia Matatizo Mashuleni, Mtaani, Ulemavu, Kupoteza Maisha Maisha, Kupoteza Shule, Kupoteza Kazi Na Mengine Mengi.

Ni Juzi tu UDOM vijana wengi wamepokea kichapo Na Kupoteza Masomo Na Kuuumia pia baada ya CDM kuwadanganya Wanafunzi njia zakudai Maitaji yao.
Pole sana CDM mwaka huu ndio Mtajua tu CCM ninani.

Back to DIT,
Vijana walikusanyika ni Zaidi ya 500 na Wameapa wakiwa Na Card za Chama Cha Mapinduzi .
Hakika tuna home wa CCM Pale DIT.
Waliochukua Form nipamoja wa Vijana waliokuwa wakiongoza Kwa Migomo DIT waliokuwa makada wa CDM Na CUF wamerudisha Card nakuingia CCM.

Kidumu Chama ChaMapinduzi DIT.
Chama kinacho haribu maisha ya wanafunzi na watanzania kwa ujumla ni ccm hivi Maisha bora ya kila Mtanzania yako wapi?
 
Chama cha Mapinduzi Kazi yake Nikujenga nakufanya Kwa Jitihada zote pia Kuhakikisha Kinawapatia Vijana Fulsa Kwa Hali Na Mali.
Sasa Najua Ma CHADEMA roho zitawauma sana Kwakuwakosa Vijana Hawa ndio Maana Mnakalia kuwapotosha Kwa Kufanya Vurugu.
Hakika Mtaendelea Kuwaza Madaraka Mpaka Mwisho wa Dunia hii.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Kweli kinadumu kwenye ufisadi
 
Hahahaaa Alvoo Naina Povu Linakutoka kupingana Na Ukweli wenyewe.
Wapinzani wa CCM mtaendelea Kuishi Kwa Matumaini tu kuwa IPO siku mtaitoa CCM ktk Reli kumbe mpaka Kufa hamtaitoa Kamwe
Chama kilichojifia mazishi yake ni october
 
Swali langu kwa mtoa mada! ni lini chadema ama cuf ilileta migomo ktk chuo chochote? migomo inatokea kwa influence ya chama? mimi ni mwana dit pia najua kila kinachoendelea pale. acha kupotosha umma ma watanzania na dunia kwa upumbavu uloweka hapo juu. kama mlikua na program zenu zakuendelea kuwadanganya mwaka wa kwanza kwa ubwabwa msitake kuwaaminisha watanzania kuwa vijana wameteswa na chadema au cuf wakati ccm nyie ndo mnadola ndomaana mnaamua kuwafukuza na kuwafelisha wanafunzi walio jitambua na kupingana na unyama unaofanywa na CCM kupitia utawala wa chuo.
 
Usitake kufanya Watanzania niwajinga kiasi hicho.
Nini maana ya Dola?
Manake mmekuwa mkisakizia kuwa eti CCM ndio yenye Dola na Serikali, Ukweli nikwamba CDM mmekuwa waongozaji wa Migomo, Maandamano, Matusi, Kejeli, Kujenga Chuki Kwa watanzania, Na Ubaya wote Kazi yenu kubwa nikuhakikisha mnawajaza Watanzania Negative Attitude tu.
Sasa CCM tushawajua Na yunajua namna yakukabiliana nanyi ivo Ondoa shaka Endeleeni Kugoma Na kuhamasisha Uhuni lakini Tututafanya Positive tu kwenu Na Mwisho wa Siku itajulikana Mbivu na Mbichi.
 
Usitake kufanya Watanzania niwajinga kiasi hicho.
Nini maana ya Dola?
Manake mmekuwa mkisakizia kuwa eti CCM ndio yenye Dola na Serikali, Ukweli nikwamba CDM mmekuwa waongozaji wa Migomo, Maandamano, Matusi, Kejeli, Kujenga Chuki Kwa watanzania, Na Ubaya wote Kazi yenu kubwa nikuhakikisha mnawajaza Watanzania Negative Attitude tu.
Sasa CCM tushawajua Na yunajua namna yakukabiliana nanyi ivo Ondoa shaka Endeleeni Kugoma Na kuhamasisha Uhuni lakini Tututafanya Positive tu kwenu Na Mwisho wa Siku itajulikana Mbivu na Mbichi.
Tanua ubongo kabla hujapanua mdomo ccm meshika dollar zaidi ya miaka 50 lakini ndio chaka la mafisadi
 
Back
Top Bottom