Chuo cha DIT ni ngome ya CCM

Chuo cha DIT ni ngome ya CCM

Peter Dafi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
394
Reaction score
272
Tawi LA Chama Cha Mapinduzi DIT Lawakaribisha wanachama wapya Na Kuwaapisha Wanachama Wapya Na Viongozi Wapya.

Sherehe hii imefanyika ktk Ukumbi wa Coco Beach.

Nimepata Fulsa yakuzungumza Na Makada Hawa wa DIT.

Vijana wamegundua Upuuzi wa CDM Baada ya Vijana zaidi ya 300 Ku Disqualify Masomo yao.
CDM kimekuwa ni Chama chakuharibu Maisha ya Vijana wa Tanzania Kwa Kuwasababishia Matatizo Mashuleni, Mtaani, Ulemavu, Kupoteza Maisha Maisha, Kupoteza Shule, Kupoteza Kazi Na Mengine Mengi.

Ni Juzi tu UDOM vijana wengi wamepokea kichapo Na Kupoteza Masomo Na Kuuumia pia baada ya CDM kuwadanganya Wanafunzi njia zakudai Maitaji yao.
Pole sana CDM mwaka huu ndio Mtajua tu CCM ninani.

Back to DIT,
Vijana walikusanyika ni Zaidi ya 500 na Wameapa wakiwa Na Card za Chama Cha Mapinduzi .
Hakika tuna home wa CCM Pale DIT.
Waliochukua Form nipamoja wa Vijana waliokuwa wakiongoza Kwa Migomo DIT waliokuwa makada wa CDM Na CUF wamerudisha Card nakuingia CCM.

Kidumu Chama ChaMapinduzi DIT.
 

Attachments

  • 1421575093455.jpg
    1421575093455.jpg
    43.3 KB · Views: 776
  • 1421575137677.jpg
    1421575137677.jpg
    58.7 KB · Views: 667
  • 1421575170965.jpg
    1421575170965.jpg
    66.5 KB · Views: 973
  • 1421575235083.jpg
    1421575235083.jpg
    58.6 KB · Views: 630
Kijana huyu wa CCM amekuwa akizunguka katika vyuo vya Dsm na kuhamasihsa vijana wa mwaka wa kwanza wajiunge na CCM ambapo jana alikuwa mgeni rasmi coco beach ambapo vijana wa vyuo 350 wa mwaka wakwanza toka chuo kimoja tu cha DIT walijiunga na CCM,akishirikiana na Mr Barongo ambae ni mwenyekiti wa tawi la CCM chuo cha DIT.

Vijana hawa lazima watazamwe kwa jicho makini maana naona hata BAVICHA aliondoka nayo Heche, CHASO kaondoka nayo Juliana Shonza??
 

Attachments

  • 20150117_161919.JPG
    20150117_161919.JPG
    493.6 KB · Views: 606
  • 20150117_162601.JPG
    20150117_162601.JPG
    491.6 KB · Views: 548
  • 20150117_163338.JPG
    20150117_163338.JPG
    588.1 KB · Views: 548
  • 20150117_161347.JPG
    20150117_161347.JPG
    460.9 KB · Views: 546
Vijana wajanja wamekuja na wao wapate mgao wa escrow Zen watachukua hatua coz wanajua ukoo wa panya hawatarudisha hizo pesa bora kugawana kwa namna hiyo
 
...kumbe mnatupiga risasi, mnatufukuza, mnatuvunja ili cdm ionekane vibaya, watanzania Wa leo tunajua maana ya Sera na utawala bora. Hata muichafue chadema kwa mabilioni mnayotuibia bado chadema tutaipenda na kuienza maana tunajua Sera yake,yuanaona utekelezaji wao na tunaona uwazi na uwezo Wa kusimama kwaajili yetu na ssi kama ccm wanasimama kwenye hela zetu....
 
dit n taasisi ya ufundi
chuo ni udsm peke yake

Siyo kweli! Chuo ni udsm, dit nk nk. Ila chuo kikuu ni Udsm. Elewa kuwa kila taasisi ya elimu hasa ya juu ni chuo, lakini siyo lazima kiwe chuo kikuu. Taasisi na Chuo Kikuu ni mfumo tu wa uendeshaji lakini vyote ni VYUO! Sasa kila chuo kikuu ni chuo sawa na kila taasisi ya elimu ya juu ni chuo, lakini siyo kila chuo ni Chuo kikuu
 
nawasifu akili zenu kuzinduka za kuambiwa mmechanganya na zenu wenye akili zilizodumaa wanaendelea na upinzani
 
Sidhani kama vijana wa Kitanzania ni mabwege wasioweza kuona wenyewe ukweli ukoje.

Lazima wanaona hali halisi ya Watanzania ilivyo, baada ya kutawaliwa na watu wale wale kwa miaka zaidi ya hamsini. Wanaona jinsi ufisadi ulivyoshamiri katika chama tawala.

Vijana waliopo chuoni wanaona matokeo mazuri waliyopata wenzetu wa Zambia, Kenya na kwingineko baada ya kuchagua viongozi tofauti na wale waliokuwa wakididimiza uchumi wa nchi hizo.

Vijana si wabinafsi. Huwa wanapigania manufaa ya taifa zaidi. There will be a few bootlickers out there, but the majority of our young people will spearhead the change that we need.
 
Lazima tu iwe hivyo sababu vyuoni hakuna CHASO wala BAVICHA kwahiyo magamba lazima yazoe watu, mfano ukienda Mzumbe ndio utalia kabisa mivijana na CCM damu damu.

Namkumbuka sana John Heche.
 
Kijana huyu wa CCM amekuwa akizunguka katika vyuo vya Dsm na kuhamasihsa vijana wa mwaka wa kwanza wajiunge na CCM ambapo jana alikuwa mgeni rasmi coco beach ambapo vijana wa vyuo 350 wa mwaka wakwanza toka chuo kimoja tu cha DIT walijiunga na CCM,akishirikiana na Mr Barongo ambae ni mwenyekiti wa tawi la CCM chuo cha DIT.

Vijana hawa lazima watazamwe kwa jicho makini maana naona hata BAVICHA aliondoka nayo Heche, CHASO kaondoka nayo Juliana Shonza??

Uzi Wa Kijinga Huu, Unauaminisha Uma Kua Ili Usome Lazima Uwe Na Card Ya Chama Flan? Siasa Ndizo Zinazofanya Vyuo Vyetu Kudorora.
 
Wengine mlizaliwa mkafika uzeeni bila kupitia ujana.....ukijiunga na chama cha hao panya lazima wakunyeshe damu yao theni unakuwa kiongozi dharimu/usiefaa ila unapata fedha.....


.......
yaani ni km unataka utajiri ila unatoa sadaka ya mzaziwako au mkeo au mtoto au ndugu mwengine yoyote
sitakubaliana na hicho chama hata siku moja coz misingi yake ni udharimu uliokidhiri
na mtu yeyote aingiaye icho chama hatakama anamaadili kiasi gani, basi lazima wambadilishe kwa nguvu yeyote mpaka afanane nao...
mm siko nao hatakama wwoooote wahamieko
 
halafu wakianza kujitambua na kudai haki zao mnawaanbia hairuhusiwi kufanya siasa vyuoni!!!!
 
Thanks mtoa uzi but kwa taarifa yako hamjafanikiwa ivo kama unavyo jarib kupotosha ,nikiwa miongon mwa wana dit jana nilishuudia kile nilichokuwa nikikisikia kutoka kwa wat kuwa ccm kupata wat lazima wapewe posho ,kwel zilikuja gar tatu wakipelekwa cocobeach na matumain ya vijana hao wakiamin wanaenda kupewa posho ambazo waliaidiwa na kinana kwenye mkutano wa juz ambao ulifanyika msimbazi, cha ajabu ilikuwa tofaut coz vijana hao walipewa plau na mziki na pombe ambapo walirudishwa chuo saa sita usku weng wakiwa wamelewa. CHA KUSHANGAZA NI MPANGO AMBAO CCM KAMA CHAMA TAWALA WALIO NAO KWA WANA DIT AMBAO HAWANA KADI ZA KIJAN KUTOFANYA MTIHAN KWA KUTIZAMA SABABU KUWA HAWAJARIPA KARO AU AWAKULIPA KWA MDA TOFAUT NA WANA CCM WENYE VIGEZO SAWA NA WAO, MTIHAN AMBAO TUNAANZA TAREHE 2.2.2015 KWA KUMTUMIA PR. KONDORO AMBAE ALISTAAF MWAKA JANA LAKIN AMEREJESHWA MAARUM KWA MWAKA MMOJA MPAKA UCHAGUZ UHISHE HAYA YOTE YANAFANYA KWA USHIRIKIANO NA UYO BARONGO AMBAYE NAE AMEHAMUA KUANZA MWAKA WA KWANZA KUFANIKISHA HUU UPUUZ, MTU AMBAYE NIKIINGIA MWAKA WA KWANZA DIT ALIKUWA RAIS WACHUO NA ALIFUKUZWA NA KWA UTOVU WA NIDHAM AJABU LEO PR. KONDORO ANAFANYA KAZI KWA MAGIZO YA UYU BARONGO. KWEL TZ NI NGUMU KILA SECTA IMETEKWA NYARA. TUNASHUKURU COZ UTARATIBU NI ULEULE UNAOTUMIKA UDOM NA VYUO VINGINE NDIVYO DIT ILIVYO KUWA KUFUKUZA VIONGOZ WOTE AKIWEMO RAIS, NAZAAN MMEDHAMILIA MSOME KIJAN PEKE YENU.........
 
Kiujumla wanavyuo ambao ni cdm wana hali ngumu sana vyuoni, wengi wananyanyaswa na kufukuzwa ovyo. Pia Chaso imekufa kifo cha mende vyuoni.
 
Thanks mtoa uzi but kwa taarifa yako hamjafanikiwa ivo kama unavyo jarib kupotosha ,nikiwa miongon mwa wana dit jana nilishuudia kile nilichokuwa nikikisikia kutoka kwa wat kuwa ccm kupata wat lazima wapewe posho ,kwel zilikuja gar tatu wakipelekwa cocobeach na matumain ya vijana hao wakiamin wanaenda kupewa posho ambazo waliaidiwa na kinana kwenye mkutano wa juz ambao ulifanyika msimbazi, cha ajabu ilikuwa tofaut coz vijana hao walipewa plau na mziki na pombe ambapo walirudishwa chuo saa sita usku weng wakiwa wamelewa. CHA KUSHANGAZA NI MPANGO AMBAO CCM KAMA CHAMA TAWALA WALIO NAO KWA WANA DIT AMBAO HAWANA KADI ZA KIJAN KUTOFANYA MTIHAN KWA KUTIZAMA SABABU KUWA HAWAJARIPA KARO AU AWAKULIPA KWA MDA TOFAUT NA WANA CCM WENYE VIGEZO SAWA NA WAO, MTIHAN AMBAO TUNAANZA TAREHE 2.2.2015 KWA KUMTUMIA PR. KONDORO AMBAE ALISTAAF MWAKA JANA LAKIN AMEREJESHWA MAARUM KWA MWAKA MMOJA MPAKA UCHAGUZ UHISHE HAYA YOTE YANAFANYA KWA USHIRIKIANO NA UYO BARONGO AMBAYE NAE AMEHAMUA KUANZA MWAKA WA KWANZA KUFANIKISHA HUU UPUUZ, MTU AMBAYE NIKIINGIA MWAKA WA KWANZA DIT ALIKUWA RAIS WACHUO NA ALIFUKUZWA NA KWA UTOVU WA NIDHAM AJABU LEO PR. KONDORO ANAFANYA KAZI KWA MAGIZO YA UYU BARONGO. KWEL TZ NI NGUMU KILA SECTA IMETEKWA NYARA. TUNASHUKURU COZ UTARATIBU NI ULEULE UNAOTUMIKA UDOM NA VYUO VINGINE NDIVYO DIT ILIVYO KUWA KUFUKUZA VIONGOZ WOTE AKIWEMO RAIS, NAZAAN MMEDHAMILIA MSOME KIJAN PEKE YENU.........

good Eng.
juzi niliwaona wakiwa wanahangaika kufanikisha upuuzi wao. Bado yanahitajika mabadiliko ya kifikra ili tufike tunapotaka.
 
ndo maana hakina wasomi wenye faida kwa taifa kumbe chuo kinamilikiwa makada wa ccm .
 
Back
Top Bottom