Pesa za mikopo kwa ajili ya wanavyuo wanataka walipe Dowans, hivyo no mkopo!!!
Nenda kalime, si lazma wote waende chuo.
Nenda kalime, si lazma wote waende chuo.
heslb wametoa tangazo kuwa second round applicant na wengine wote watakao chaguliwa na TCU mkopo hamna....eti wanasema wakati tuna apply second round TCU walitueleza kabisa kuwa mkopo hatutapata..hivi kweli kama wangesema hivo si wengine tungeomba diploma tu kupunguza gharama ukizingatia kozi zenyewe science.wadau wenzangu mnasemaje? JAMANI INAUMA SANA
heslb wametoa tangazo kuwa second round applicant na wengine wote watakao chaguliwa na TCU mkopo hamna....eti wanasema wakati tuna apply second round TCU walitueleza kabisa kuwa mkopo hatutapata..hivi kweli kama wangesema hivo si wengine tungeomba diploma tu kupunguza gharama ukizingatia kozi zenyewe science.wadau wenzangu mnasemaje? JAMANI INAUMA SANA
wana jf nisaidieni vyuo vinavyotoa assistant medical officer hapa nchini na contact zao..ni heri nitafute diploma tu[/QUmkuu pole sana lkn hii yote ni matunda ya CCM na serikali yake,.ok kuna chuo mtwara kinaitwa COTC ni kizur. Poleni sana lkn msikate tamaa.
Dah asante mkuu..nimepata contact zao na nimeongea nao..sasa sijui nianzie wapi mana principal wa pale anasema wao wanafunzi wanaletewa na wizara ya afyawana jf nisaidieni vyuo vinavyotoa assistant medical officer hapa nchini na contact zao..ni heri nitafute diploma tu[/QUmkuu pole sana lkn hii yote ni matunda ya CCM na serikali yake,.ok kuna chuo mtwara kinaitwa COTC ni kizur. Poleni sana lkn msikate tamaa.
Dah asante mkuu..nimepata contact zao na nimeongea nao..sasa sijui nianzie wapi mana principal wa pale anasema wao wanafunzi wanaletewa na wizara ya afya
huwa wanatuma maombi yao wizara ya afya mkuu,bt cjajua huwa ni wakati gani!