Chunya, Mbeya: Ndoto ya Hamza kujenga shule yaacha simanzi

Mi mwanaume sitakaa ni msifu dume mwingine, labda wanaopigwa bomba ndio kazi yao.
Dada yangu atakuwekea kidole kukuziba? Au ndio mnaowasha feni kupoza m*knd wakati unaendelea?
 
Kwahiyo unazani kila shambulio lililo fanywa huwa ni kisasi kwa muhusika?
Kabula hujatoa hayo maneno fikiria mfano magaidi wanao teka watu au familia kadhaa ina maana hizo familia zimewakosea?
Ukipata majibu utakuwa umekomboka na mawazo potoshi.
Kila kitu huja na sababu haiwezekani mtu aamue tu kufanya tukio Kama kichaa Hivi unadhani Hamza alikua Mwendawazimu mbaka atoke kwao upanga mbaka kule Salenda aanze tu kuwafyatulia askari risasi na kuacha raia wote wale bila sababu?
Polisiccm wamezidi dhuruma ndio maana yakatokea Yale wangetenda haki na kutokua na tamaa yasingefika pale!
 
Nachofahamu kwa elimu ya msingi ni bure kwa nchi yetu, sasa sujaelewa bwana Hamza alitaka kutoa elimu ipi bure
Eti na huu nao ni mchango, hiyo elimu ha bure inatolewa chini ya mti?
Mkiambiwa mna akili kama za mwendakuzimu mnasema mmetukanwa.
 
Je, Alshabab kwa mfano wanavyo shambulia nao wanamalengo mfano wakiingia kenya tuseme kenya imewakosea?
 
Mi mwanaume sitakaa ni msifu dume mwingine, labda wanaopigwa bomba ndio kazi yao.
Dada yangu atakuwekea kidole kukuziba? Au ndio mnaowasha feni kupoza m*knd wakati unaendelea?
ok Napigwa Bomba ni Pm uje unipige halafu utaleta mrejesho Kwa wadau humu kuwa Dumas the terrible amepigwa Bomba na bwana omulasis halafu tuone
Maana unaonekana bingwa Sana wa michezo ya kingazija Kwa kukomalia hiyo ishu!
 
Je, Alshabab kwa mfano wanavyo shambulia nao wanamalengo mfano wakiingia kenya tuseme kenya imewakosea?
unaishi Sayari Gani wewe kwani hujui Kenya ilipeleka jeshi Somalia kwenda kuwatifua?
Unadhani walianza tu kushambulia bila sababu?@
 
Mbona yeye anapitia wote pasipo kulenga jeshi tu mbona na wananchi wa kawaida anapitia?
anapitia wananchi sababu ni vigeu geu hawana msimamo Kama unakumbuka Marekani alidhawahi kwenda kuwadhibiti hao jamaa kilichotokea ni wananchi kumsnich mtoa msaada na kuungana na Alshabab kumtimua mmarekani akaondoka zake jamaa wakawageuka Tena wananchi na kutaka wafuate taratibu zao zenye sheria Kali halafu wananch wanaanza kulia Tena Hivi unadhani hao ni wakuonewa huruma mkuu hata wakipigwa na Alshabab?
 
Sawa sina neno acha mengine yawe akiba lakini si vizuri kufagilia kilicho fanywa na Hamza inapaswa kukemea.
 

ndio maana tunawasihi ndugu zetu muwe mnatumia akili.
 
Hajui kuwa gaidi anaingia mfano mlimani city analijilipua. Ama anaingia kwa cinema watu wengi Sana anajilipua nao

Mfano shuleni ama chuoni watu wako kwa lecture nyomi anajiachia na bomu.
Yeye alichagua polisi tu ni kwa Nini.
Hakumbuki Ile eicher ilikuwepo pale na abiria kibao Ila hakufyatua risasi hata moja kwao.
Kuna raia gani wa kawaida aliyeuliwa aseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…