Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Wewe ukiona GENTAMYCINE ama anasifia kitu fulani au Mtu fulani au anakisiliba au anamkosoa basi jua 100% ni correct kwani huwa sibahatishi na sijawahi kubahatisha. Kwa matatizo ya ' Chunusi ' kama huna aina yoyote ile ya ' Pepo ' au ' Nuksi ' basi Sabuni za Family au Citrus ndiyo ' Kiboko ' yake.
Mkuu, heshima yako.
Kuna family za mche na hizi zinazokuwa kwenye pakti.
Sijajua unazomaanisha.

Msaada.
 
Mkuu, heshima yako.
Kuna family za mche na hizi zinazokuwa kwenye pakti.
Sijajua unazomaanisha.

Msaada.

Za kwenye ' pakiti ' Mkuu zina rangi Nyeusi halafu ' Kasha ' lake ni la ' Zambarau ' hivi. Zipo sana Madukani Mkuu huku Uswazinyo Kwetu na hata huko Uzungunyo Kwenu. Kama ukiikosa hiyo basi tafuta haraka hiyo Sabuni ya CITRUS yenye Kasha la Njano na yenyewe pia ikiwa ni ya Njano zote zinasaidia mno tu.

Kila la kheri Mkuu.
 
Za kwenye ' pakiti ' Mkuu zina rangi Nyeusi halafu ' Kasha ' lake ni la ' Zambarau ' hivi. Zipo sana Madukani Mkuu huku Uswazinyo Kwetu na hata huko Uzungunyo Kwenu. Kama ukiikosa hiyo basi tafuta haraka hiyo Sabuni ya CITRUS yenye Kasha la Njano na yenyewe pia ikiwa ni ya Njano zote zinasaidia mno tu.

Kila la kheri Mkuu.
Asante sana
 
me ninazo zinanisumbua kweli na before nilikuwaga soft kuna nyau mmoja kaniambia eti nitakuwa cjafanya mapenzi muda mrefu embu nishaurini nifanyeje
images
images
 
Me naamini siku zikiisha ni pale ukitambua njia sahihi ya kutibu ngozi yako , ila lazima zikusumbue maana uyu ata sema tumia bio oil huyu hiki ikiwa ngozi yako haendani na icho kitu ,so usiogope kujarbu utapata matokeo , mm maji ya moto yalitosha kumaliza zote.
 
Na niliwaokoteni sana tu na nina uhakika hadi Wewe vile vile. Chezea GENTAMYCINE Weye!
nikweli,lakini mimi kama mimi nilikua naamn sana thread zako humu,bt baada ya ule utabiri mbovu,bila shaka nilipoteza iman nawe na sipo attracted sana na thread zako as was b4,sio mimi tuu,maana ulijiamnisha sana na ukaangukia puaa.POLe
 
Binafsi huko nyuma nilikuwa na ' michunusi ' kibao utafikiri ' Fenesi ' limeiva na nikawa nanunua dawa za bei / gharama kabisa ambazo nilikuwa nikiambiwa na wenye ' Mafamasi ' yao hapa mjini lakini sikuweza kufanikiwa kupona ila siku moja kuna ' Msela ' mmoja tu ambaye mwanzoni nilimdharau kama ambavyo Watanzania bila kusahau Waafrika huwa tunapenda kudharauliana na kuchukuliana poa aliniambia kuwa dawa nzuri ya kuondoa ' chunusi ' hasa katika nyago / uso ni hizi Sabuni mbili ambazo ni za bei nafuu sana ya FAMILY ambayo ni Tsh 500/= au ya CITRUS tena ile ya njano ambayo sasa ni Tsh 700 huku Kwetu ' uswazinyo / uswahilini ' na Tsh 800/= mpaka Tsh 1,000/= huko Kwenu ' uzungunyo / uzunguni '. Huwezi amini huu sasa ni mwaka wa tatu au wa nne natumia moja wapo ya hizo Sabuni na sijui zile ' Chunusi ' zangu nyingi zimekimbilia wapi kwani uso wangu ni safi hauna chochote hadi sasa ' Mademu ' wanajigonga tu wenyewe kwani ' nuru ' inaonekana usoni na Mwanamume ninang'aa ile mbaya.

Ukiona hizo Sabuni mbili tajwa hapo juu hazijakusaidia kuondoa ' Chunusi ' zako basi jua ya kwamba mwenye dawa nzuri ya kuziondoa atakuwa ni Shetani Mkuu tu Lucifa kwani utakuwa una dalili zote za kuwa na Pepo la Chunusi ambalo limetukuka kabisa katika mwili wako na hasa usoni.

Kila la kheri Mkuu ila mambo yote ni Sabuni za FAMILY Medicated Soap au CITRUS kwa matatizo ya Kutukuka ya Chunusi.
Tangazo la biashara
 
me ninazo zinanisumbua kweli na before nilikuwaga soft kuna nyau mmoja kaniambia eti nitakuwa cjafanya mapenzi muda mrefu embu nishaurini nifanyeje
Mimi pia nilizipata mwaka huu toka mwezi wa kwanza, zilinikosesha amani kabisa nimebadili sana mafuta, rotion, sabuni lakini wapi.
Nikaamua kutumia limao na sabuni ya Asantee ya ukwaju. Nanawa USO Kwa sabuni hiyo kisha nachukua limao nakata vipande viwili naanza kusugua usoni, lilikuwa nafanya hivyo Mara mbili Kwa siku na chunusi zikakauka.
Sasa yamebaki mabaka lakini pia yanapungua. Siku hizi nasugua limao Mara moja hadi mbili Kwa wiki na USO upo soft.
Ila ninachangamoto ya mafuta gani nitumie nisipate chunusi sitaki lotion kwani asilimia kubwa ya lotion nikipaka usoni naumwa sana macho.
Asante
 
Binafsi huko nyuma nilikuwa na ' michunusi ' kibao utafikiri ' Fenesi ' limeiva na nikawa nanunua dawa za bei / gharama kabisa ambazo nilikuwa nikiambiwa na wenye ' Mafamasi ' yao hapa mjini lakini sikuweza kufanikiwa kupona ila siku moja kuna ' Msela ' mmoja tu ambaye mwanzoni nilimdharau kama ambavyo Watanzania bila kusahau Waafrika huwa tunapenda kudharauliana na kuchukuliana poa aliniambia kuwa dawa nzuri ya kuondoa ' chunusi ' hasa katika nyago / uso ni hizi Sabuni mbili ambazo ni za bei nafuu sana ya FAMILY ambayo ni Tsh 500/= au ya CITRUS tena ile ya njano ambayo sasa ni Tsh 700 huku Kwetu ' uswazinyo / uswahilini ' na Tsh 800/= mpaka Tsh 1,000/= huko Kwenu ' uzungunyo / uzunguni '. Huwezi amini huu sasa ni mwaka wa tatu au wa nne natumia moja wapo ya hizo Sabuni na sijui zile ' Chunusi ' zangu nyingi zimekimbilia wapi kwani uso wangu ni safi hauna chochote hadi sasa ' Mademu ' wanajigonga tu wenyewe kwani ' nuru ' inaonekana usoni na Mwanamume ninang'aa ile mbaya.

Ukiona hizo Sabuni mbili tajwa hapo juu hazijakusaidia kuondoa ' Chunusi ' zako basi jua ya kwamba mwenye dawa nzuri ya kuziondoa atakuwa ni Shetani Mkuu tu Lucifa kwani utakuwa una dalili zote za kuwa na Pepo la Chunusi ambalo limetukuka kabisa katika mwili wako na hasa usoni.

Kila la kheri Mkuu ila mambo yote ni Sabuni za FAMILY Medicated Soap au CITRUS kwa matatizo ya Kutukuka ya Chunusi.
Citrus ya njano ni kweli. Ila mie nina mzio na harufu yake.
 
Mimi pia nilizipata mwaka huu toka mwezi wa kwanza, zilinikosesha amani kabisa nimebadili sana mafuta, rotion, sabuni lakini wapi.
Nikaamua kutumia limao na sabuni ya Asantee ya ukwaju. Nanawa USO Kwa sabuni hiyo kisha nachukua limao nakata vipande viwili naanza kusugua usoni, lilikuwa nafanya hivyo Mara mbili Kwa siku na chunusi zikakauka.
Sasa yamebaki mabaka lakini pia yanapungua. Siku hizi nasugua limao Mara moja hadi mbili Kwa wiki na USO upo soft.
Ila ninachangamoto ya mafuta gani nitumie nisipate chunusi sitaki lotion kwani asilimia kubwa ya lotion nikipaka usoni naumwa sana macho.
Asante
nzur hyo,vp ushawah tumia asali au magadi?
 
Back
Top Bottom