Huyu angefanikiwa kuiba bila kukamatwa, angeonekana "amecheza deal". Marafiki na wafanyakazi wenzake wangemuona "mjanja". Unfortunatelly hiyo ndio Tanzania ya sasa! Wizi, rushwa, dhuruma huitwa deals.
APC inabidi msiishie kumfuta huyu uanachama. Endeleeni kwa kuifundisha jamaa tabia njema na kukemea wote wenye tabia zisizofaa. Tumieni media kuleta maana bora ya neno "deal".