Jamaa wa kipare alimwambia mkewe wacheze kibati lakini yeye atakuwa kila akipiga kisi kimoja atatoa sh. 1000, ilipofika mwisho wa mwezi mke akatoa fedha alizokusanya akamuonyesha mumewe sh 60,000 mume alipouliza kulikoni, mke akamwambia:"si mmeongezeka wawili na yule jirani yetu pia"