Yaelekea Nyumba bado iko kwenye matengenezo na anaelala hapo pengine Mlinzi, au Fundi/Mafundi.
Hii inanikumbusha kipindi niko Mdogo, Mjengo wetu makazi mapya wakati unajengwa kitambo hiyo Walinzi wa Mijengo walikuwa Wamakonde na si Wamasai kama siku hizi