Chumba cha Hoteli kisicho na ukuta

Kama kingekua bongo hiki si misele ingekua haiishi kwa wapiga chabo na wapiga puli
Hapa pangekuwa na misele mingi sana. Hapa bongo kwa gesti hausi tu ukijulikana ima viupenyo wazee wa chabo hawachezi mbali.
 
Hicho ndio chumba bhana...Oxygen ya kutosha,pia full kujivinjari

Siku nikanunua Ranchi ni muhimu chumba kama hicho kiwepo

Hapo wangeweka na bkanketi color less kabisa
 
Upepo wa hapo hata Serena hotel/Hyatt hotel huupati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…