Chumba cha elfu themanini kipoje Dar es salaam?

Chumba cha elfu themanini kipoje Dar es salaam?

stanleyRuta

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2014
Posts
851
Reaction score
529
Kwa kodi ya elfu themanini kwa mwezi naweza pata chumba cha namna gani hapa dar......

Ahsanteni.
 
Hapa Mbezi kuna chumba self contained kina tiles na ukubwa wa mita 4 kwa 4 ni sh. 50,000/= Ila maji ndio hadithi. mchina kaweka bomba kila nyumba lakini maji hata hewa yake hatujawahi kuiona. Ila yanapatokana kwenye omba la mtaa na wasambazaji wa baiskeli na magari
 
Wakuu kuna mama mmoja mchaga kanipiga hapa manzese nampa 70 kwa mwezi,kisa nyumba ni mpya na ina tiles, chumba chenyewe hata kitanda sita kwa sita kinakaa kwa mbinde, sikuwa na jinsi ilinibidi nimpe coz sikuwa na mahali pa kukaa....................................
 
Nenda chamazi chumba self elfu 40000 nyumba mpya mpya tu.
 
Kwa bei hiyo unapata vyumba viwili self contained ,maji bure na umeme bure..tv flat screen ya samsung 42 inch na dish ya dstv bure..
 
Kwa bei hiyo unapata vyumba viwili self contained ,maji bure na umeme bure..tv flat screen ya samsung 42 inch na dish ya dstv bure..
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..........................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom